Nadhani umeshuhudia nani mkali ronardo anatishaaaaa!
Ronaldo mzuri kwa kuchezea mpira burudani anatumia miguu yote,ila hana nidhamu,Messi nae mzuri na inamsaidia ana nidhamu hana nyodo kama Ronaldo,ila zaidi ya yote wataalam ni wachezaji wa spain wakiongozwa na Xavi Hernandez i Creus na Andreas Iniesta Lujan,hata Gang Chomba anakubaliana na hilo habishi!