Nzokanhyilu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2007
- 1,078
- 93
Ngoja tulinganisha statistics za haya vijana msimu huu
RONALDO MESSI
Game Played 47 37
Goal Scored 41 16
Kana ka Nsugu is ant-Man U, what do you expect from him ni kuiponda Man u na wachezaji wake. Don't play with Christian Ronald, statistics za 2007/2008 zinamweka juu kuliko mchezaji mwingine yeyote Ulaya.
Kuhusu timu ya TAIFA MESI ameshine mashindano ya U17 & U20 but tangu ameingia SENIOR TEAM hajafanya lolote
Mkubwa hivi MESSI kupeform wapi? kama ni kupiga chenga sawa
Barca la liga wako nafasi ya 3,Champs wametolewa Semi final na MANU
ManU Mabingwa EPL kwa miaka miwil mfululizo na wako Champs League Final
Unajua, ushabiki wa msimu mmoja utawatoa nishai. Msiwe mnaongea bila stats jamani...........
International Appearances and goals (Hapa hatuangalii Messi kafanya nini akiwa under 21/20);
Ronaldo 53 matches 16 goals (1 goal in 3.3 matches)
Messi 18 Matches 10 goals (1 in 1.8 matches)
Ndio maana nasema Ronaldo anaweza UK tu, subiri tuone kama atafurukuta euro 2008 mwezi ujao tu!!
Umeangalia stats za magoli ya timu msimu huu tu, angalia hayo magoli Ronaldo kafunga timu gani mbovu za UK. Halafu angalia record ya Ronaldo na Messi tangu waingie first team tuone nani ana return nzuri zaidi;
Ronaldo 238 matches 91 goals (average return 1 in 2.615 games)
Messi 102 matches 39 goals (average return 1 in 2.615 games)
Hapo return yao sawa. Ila average ya Ronaldo imepanda msimu huu tu kwasababu kacheza na timu mbuzi za UK. Na kumbuka Messi mechi nyingi kaingia substitute. Nakupeni homework mtafute wakati Ronaldo ana mechi 100 au 102 hapo Manu je alikuwa na magoli mangapi?
CL msimu huu (Messi akiwa injured)
R 11 7 (1.57)
M 9 6 (1.5)
I could go on and on, ila kama we kweli unajua mpira, utaelewa kwamba Ronaldo anatamba ligi ya UK tu ambapo madefender wengi ni wachovu wa butua butua.....very average hawana skill (defender usipokuwa skillfull utazuiaje mchezaji skillfull? Tofauti na Europe au world football. We umeshawahi kumwona Ronaldo anamsumbua Glichy? Ashley Cole unaweza kusema 50/50, ila madefender wengine anawasumbua). Nje ya UK Ronaldo is an average player. Yaani mara mia hata Torres yuko proven.
Halafu tafuteni mechi ya Barca vs Getafe muone mambo Messi alifanya.....Ronaldo hawezi hiyo hata siku moja.
Mkitaka assists;
http://www.fcbarcelona.com/web/engl...07-08/estadistiques/jugadors/Messi/fitxa.html
Messi kamfanya hata Thierry Henry aonekane mbovu. Na hapo ndio utajua ukiwa Uingereza sio kwamba uta-guarantee ufanikishe Europe. Hata wakati Thenry yuko Arsenal, Europe alikuwa anachemsha.....na ameonekana average Barcelona, alikuwa average Juventus. Ndo maana nasema Messi can fit any league comfortably.