Messi vs Ronaldo: Nani zaidi?

Ngoja tulinganisha statistics za haya vijana msimu huu

RONALDO MESSI
Game Played 47 37
Goal Scored 41 16

Kana ka Nsugu is ant-Man U, what do you expect from him ni kuiponda Man u na wachezaji wake. Don't play with Christian Ronald, statistics za 2007/2008 zinamweka juu kuliko mchezaji mwingine yeyote Ulaya.

Kuhusu timu ya TAIFA MESI ameshine mashindano ya U17 & U20 but tangu ameingia SENIOR TEAM hajafanya lolote

Mkubwa hivi MESSI kupeform wapi? kama ni kupiga chenga sawa
Barca la liga wako nafasi ya 3,Champs wametolewa Semi final na MANU
ManU Mabingwa EPL kwa miaka miwil mfululizo na wako Champs League Final

Unajua, ushabiki wa msimu mmoja utawatoa nishai. Msiwe mnaongea bila stats jamani...........

International Appearances and goals (Hapa hatuangalii Messi kafanya nini akiwa under 21/20);

Ronaldo 53 matches 16 goals (1 goal in 3.3 matches)
Messi 18 Matches 10 goals (1 in 1.8 matches)

Ndio maana nasema Ronaldo anaweza UK tu, subiri tuone kama atafurukuta euro 2008 mwezi ujao tu!!

Umeangalia stats za magoli ya timu msimu huu tu, angalia hayo magoli Ronaldo kafunga timu gani mbovu za UK. Halafu angalia record ya Ronaldo na Messi tangu waingie first team tuone nani ana return nzuri zaidi;

Ronaldo 238 matches 91 goals (average return 1 in 2.615 games)
Messi 102 matches 39 goals (average return 1 in 2.615 games)
Hapo return yao sawa. Ila average ya Ronaldo imepanda msimu huu tu kwasababu kacheza na timu mbuzi za UK. Na kumbuka Messi mechi nyingi kaingia substitute. Nakupeni homework mtafute wakati Ronaldo ana mechi 100 au 102 hapo Manu je alikuwa na magoli mangapi?

CL msimu huu (Messi akiwa injured)
R 11 7 (1.57)
M 9 6 (1.5)

I could go on and on, ila kama we kweli unajua mpira, utaelewa kwamba Ronaldo anatamba ligi ya UK tu ambapo madefender wengi ni wachovu wa butua butua.....very average hawana skill (defender usipokuwa skillfull utazuiaje mchezaji skillfull? Tofauti na Europe au world football. We umeshawahi kumwona Ronaldo anamsumbua Glichy? Ashley Cole unaweza kusema 50/50, ila madefender wengine anawasumbua). Nje ya UK Ronaldo is an average player. Yaani mara mia hata Torres yuko proven.

Halafu tafuteni mechi ya Barca vs Getafe muone mambo Messi alifanya.....Ronaldo hawezi hiyo hata siku moja.

Mkitaka assists;

http://www.fcbarcelona.com/web/engl...07-08/estadistiques/jugadors/Messi/fitxa.html

Messi kamfanya hata Thierry Henry aonekane mbovu. Na hapo ndio utajua ukiwa Uingereza sio kwamba uta-guarantee ufanikishe Europe. Hata wakati Thenry yuko Arsenal, Europe alikuwa anachemsha.....na ameonekana average Barcelona, alikuwa average Juventus. Ndo maana nasema Messi can fit any league comfortably.
 
Messi better than Ronaldo - Cole

Messi and Ronaldo went head-to-head in the Champions League
Chelsea's Joe Cole says Barcelona's Lionel Messi is ahead of Manchester United star Cristiano Ronaldo as the best player in the world.

Cole said Messi's form in Barca's Champions League semi-final defeat by United settled the debate.

"Ronaldo's been fantastic but in the semi-final Messi showed he's the top man," said Cole, who will face Ronaldo in next week's Champions League final.

"He is only 20 as well, imagine how good he will be in the next 10 years."

Messi has been linked with a £80m move to Chelsea, and Cole admitted he would be delighted if the speculation proved to be true.

"If we could sign him, I'd love to play alongside him," he added.

Cole's comments will help to crank up the atmosphere ahead of Wednesday's final between United and Chelsea in Moscow.


Source:bbc.co.uk

Mimi binafsi nakubaliana kabisa na maneno ya Joe Cole hapo juu, Messi anatisha!

Hii ni sawa na Kulinganisha Suzuki na Hammer, "Jesus Christ-ano Ronaldo Schwarzenegger call him COMMANDO!!!" kibokooo na ndio zaidi kama unabisha basi tusubiri Mcheza Bora wa Mwaka huu. Haya ni maoni yangu wazazi haina haja ya kurusha ngumi.
 
Hii ni sawa na Kulinganisha Suzuki na Hammer, "Jesus Christ-ano Ronaldo Schwarzenegger call him COMMANDO!!!" kibokooo na ndio zaidi kama unabisha basi tusubiri Mcheza Bora wa Mwaka huu. Haya ni maoni yangu wazazi haina haja ya kurusha ngumi.

messi ameweza kufananishwa na gwiji maradona kwa umahiri wake.
je ronaldo kawahi kufananishwa na nani?
NB: usitegemee mtu atakurushia ngumi kwa hizo pumba unazozimwaga
 
Unajua, ushabiki wa msimu mmoja utawatoa nishai. Msiwe mnaongea bila stats jamani...........

International Appearances and goals (Hapa hatuangalii Messi kafanya nini akiwa under 21/20);

Ronaldo 53 matches 16 goals (1 goal in 3.3 matches)
Messi 18 Matches 10 goals (1 in 1.8 matches)

Ndio maana nasema Ronaldo anaweza UK tu, subiri tuone kama atafurukuta euro 2008 mwezi ujao tu!!

Umeangalia stats za magoli ya timu msimu huu tu, angalia hayo magoli Ronaldo kafunga timu gani mbovu za UK. Halafu angalia record ya Ronaldo na Messi tangu waingie first team tuone nani ana return nzuri zaidi;

Ronaldo 238 matches 91 goals (average return 1 in 2.615 games)
Messi 102 matches 39 goals (average return 1 in 2.615 games)
Hapo return yao sawa. Ila average ya Ronaldo imepanda msimu huu tu kwasababu kacheza na timu mbuzi za UK. Na kumbuka Messi mechi nyingi kaingia substitute. Nakupeni homework mtafute wakati Ronaldo ana mechi 100 au 102 hapo Manu je alikuwa na magoli mangapi?

CL msimu huu (Messi akiwa injured)
R 11 7 (1.57)
M 9 6 (1.5)

I could go on and on, ila kama we kweli unajua mpira, utaelewa kwamba Ronaldo anatamba ligi ya UK tu ambapo madefender wengi ni wachovu wa butua butua.....very average hawana skill (defender usipokuwa skillfull utazuiaje mchezaji skillfull? Tofauti na Europe au world football. We umeshawahi kumwona Ronaldo anamsumbua Glichy? Ashley Cole unaweza kusema 50/50, ila madefender wengine anawasumbua). Nje ya UK Ronaldo is an average player. Yaani mara mia hata Torres yuko proven.

Halafu tafuteni mechi ya Barca vs Getafe muone mambo Messi alifanya.....Ronaldo hawezi hiyo hata siku moja.

Mkitaka assists;

http://www.fcbarcelona.com/web/engl...07-08/estadistiques/jugadors/Messi/fitxa.html

Messi kamfanya hata Thierry Henry aonekane mbovu. Na hapo ndio utajua ukiwa Uingereza sio kwamba uta-guarantee ufanikishe Europe. Hata wakati Thenry yuko Arsenal, Europe alikuwa anachemsha.....na ameonekana average Barcelona, alikuwa average Juventus. Ndo maana nasema Messi can fit any league comfortably.

data zako zimekosa kitu muhimu, nafasi wanayo chezea! Ronaldo ni winger na Messi ni mshambuliaji. wewe ulitegemea winger afunge magoli magapi katika mechi. Huoni kama huyu ni winger wa pekee duniani? may be angekuwa ameendelezwa Edibily Jonas Lunyamila nasi tungekuwa na winger ya kujivunia.
 
messi ameweza kufananishwa na gwiji maradona kwa umahiri wake.
je ronaldo kawahi kufananishwa na nani?
NB: usitegemee mtu atakurushia ngumi kwa hizo pumba unazozimwaga

Mkubwa Putin habari za Russia.

Inaonekana Baridi bado ipo sana huko.

Cristiano Ronaldo is the new Maradona
March 22, 2008
…So says Sir Alex Ferguson, who started frothing at the mouth over his young Portuguese winger when asked if he would beat Ruud Van Nistelrooy's club record 44 goals.
Fergie the red nosed gaffer claimed that he isn't setting Ronaldo any targets, but with the outrageous talents that the Portuguese winger has - Ferg doesn't see any reason why he can't beat Ruud's record.
The Ferg then went off on a major Ronaldo praising session, getting a little carried away in the process:

"I'm not setting targets for the lad. But the boy's form demands attention and he's getting plenty of that. His form has been fantastic. There is no end to where we think he can go.

"He has the world in front of him. He's so quick. His speed with the ball is the real asset he has. He's probably just as quick running with the ball as without it.

"There have been a few players like that in the past. Maradona, for example. Ronaldo is similar."

http://www.youtube.com/watch?v=7nTTomtXJws

Haya ni Maoni tuu mzazi
 
Unajua, ushabiki wa msimu mmoja utawatoa nishai. Msiwe mnaongea bila stats jamani...........

International Appearances and goals (Hapa hatuangalii Messi kafanya nini akiwa under 21/20);

Ronaldo 53 matches 16 goals (1 goal in 3.3 matches)
Messi 18 Matches 10 goals (1 in 1.8 matches)

Ndio maana nasema Ronaldo anaweza UK tu, subiri tuone kama atafurukuta euro 2008 mwezi ujao tu!!

Umeangalia stats za magoli ya timu msimu huu tu, angalia hayo magoli Ronaldo kafunga timu gani mbovu za UK. Halafu angalia record ya Ronaldo na Messi tangu waingie first team tuone nani ana return nzuri zaidi;

Ronaldo 238 matches 91 goals (average return 1 in 2.615 games)
Messi 102 matches 39 goals (average return 1 in 2.615 games)
Hapo return yao sawa. Ila average ya Ronaldo imepanda msimu huu tu kwasababu kacheza na timu mbuzi za UK. Na kumbuka Messi mechi nyingi kaingia substitute. Nakupeni homework mtafute wakati Ronaldo ana mechi 100 au 102 hapo Manu je alikuwa na magoli mangapi?

CL msimu huu (Messi akiwa injured)
R 11 7 (1.57)
M 9 6 (1.5)

I could go on and on, ila kama we kweli unajua mpira, utaelewa kwamba Ronaldo anatamba ligi ya UK tu ambapo madefender wengi ni wachovu wa butua butua.....very average hawana skill (defender usipokuwa skillfull utazuiaje mchezaji skillfull? Tofauti na Europe au world football. We umeshawahi kumwona Ronaldo anamsumbua Glichy? Ashley Cole unaweza kusema 50/50, ila madefender wengine anawasumbua). Nje ya UK Ronaldo is an average player. Yaani mara mia hata Torres yuko proven.

Halafu tafuteni mechi ya Barca vs Getafe muone mambo Messi alifanya.....Ronaldo hawezi hiyo hata siku moja.

Mkitaka assists;

http://www.fcbarcelona.com/web/engl...07-08/estadistiques/jugadors/Messi/fitxa.html

Messi kamfanya hata Thierry Henry aonekane mbovu. Na hapo ndio utajua ukiwa Uingereza sio kwamba uta-guarantee ufanikishe Europe. Hata wakati Thenry yuko Arsenal, Europe alikuwa anachemsha.....na ameonekana average Barcelona, alikuwa average Juventus. Ndo maana nasema Messi can fit any league comfortably.

Umemaliza huu mjadala Mkuu!
 
Mkuu KKN nadhani uko biased kwa Messi (sina hakika kama ni kwa sababu Ronaldo anacheza Man U). Kama ulitaka kweli maoni ya watu basi usibiase kiasi hicho.
Anyway, let me put something into this. Binafsi nakiri kwamba simfahamu Messi kama Ronaldo (kwa sababu za wazi - mimi naipenda EPL na Man U)!
Ronaldo is s great player - ana kasi nzuri sana, anamiliki vizuri mpira, ni mtaalam wa mipira iliyokufa na anatumia vema miguu na kichwa. Kwa takwimu ameibeba sana Man U msimu huu.....ni mchezaji hatari, hutafurahi akicheza dhidi ya timu yako!
About Messi nafahamu kwamba ni mchezaji hatari, hutafurahi akicheza dhidi ya timu yako!
Anyway, huku (kwenye michezo) sheria sio kali sana, ushabiki bila takwimu unaruhusiwa! Sishangai japo Tores kakiri kwamba Ronaldo ni bora zaidi yake lakini kuna mtu kasema hapo juu kwamba Tores ni zaidi ya Ronaldo!
 
Roya sio kwamba nakuwa biased, hapa kila mtu anatakiwa atoe choice kati ya Messi na Ronaldo na mimi nimefanya chaguo langu. Wote ni wachezaji wazuri lakini tunachosema hapa ni nani zaidi kati yao.Kuna kipindi Wenger alisema kuwa Adebayor ni zaidi ya Ronaldo, sina namba yake ya simu ila ningempigia nikamuamsha toka usingizini! He score goals but after how many chances? I dont think he is world class yet.
 
Roya sio kwamba nakuwa biased, hapa kila mtu anatakiwa atoe choice kati ya Messi na Ronaldo na mimi nimefanya chaguo langu. Wote ni wachezaji wazuri lakini tunachosema hapa ni nani zaidi kati yao...

Its difficult to choose among the two, they are world class footballers..nikiangalia kwa mtizamo wa match maker, Ronaldo is now the best player on the planet!
 
Mkuu KKN nadhani uko biased kwa Messi (sina hakika kama ni kwa sababu Ronaldo anacheza Man U). Kama ulitaka kweli maoni ya watu basi usibiase kiasi hicho.
Anyway, let me put something into this. Binafsi nakiri kwamba simfahamu Messi kama Ronaldo (kwa sababu za wazi - mimi naipenda EPL na Man U)!
Ronaldo is s great player - ana kasi nzuri sana, anamiliki vizuri mpira, ni mtaalam wa mipira iliyokufa na anatumia vema miguu na kichwa. Kwa takwimu ameibeba sana Man U msimu huu.....ni mchezaji hatari, hutafurahi akicheza dhidi ya timu yako!
About Messi nafahamu kwamba ni mchezaji hatari, hutafurahi akicheza dhidi ya timu yako!
Anyway, huku (kwenye michezo) sheria sio kali sana, ushabiki bila takwimu unaruhusiwa! Sishangai japo Tores kakiri kwamba Ronaldo ni bora zaidi yake lakini kuna mtu kasema hapo juu kwamba Tores ni zaidi ya Ronaldo!






Roya nilkuwa natamani kumwaga maoni ynagu lakini am running out of time, ila umemaliza kazi hapo juu mkuu, Messi is too much individual...ni yeye tuuuuu!!, my vote to Ronaldo=Software, he will prove that on wedsnesday!!
 
Mkuu KKN nadhani uko biased kwa Messi (sina hakika kama ni kwa sababu Ronaldo anacheza Man U). Kama ulitaka kweli maoni ya watu basi usibiase kiasi hicho.
Anyway, let me put something into this. Binafsi nakiri kwamba simfahamu Messi kama Ronaldo (kwa sababu za wazi - mimi naipenda EPL na Man U)!
Ronaldo is s great player - ana kasi nzuri sana, anamiliki vizuri mpira, ni mtaalam wa mipira iliyokufa na anatumia vema miguu na kichwa. Kwa takwimu ameibeba sana Man U msimu huu.....ni mchezaji hatari, hutafurahi akicheza dhidi ya timu yako!
About Messi nafahamu kwamba ni mchezaji hatari, hutafurahi akicheza dhidi ya timu yako!
Anyway, huku (kwenye michezo) sheria sio kali sana, ushabiki bila takwimu unaruhusiwa! Sishangai japo Tores kakiri kwamba Ronaldo ni bora zaidi yake lakini kuna mtu kasema hapo juu kwamba Tores ni zaidi ya Ronaldo!

Kembe unakiri humjui? Sasa unafananisha nini?
Sijasema Torres mkali zaidi ya Ronaldo, nimesema Torres ni proven. Yaani kafanya kweli Spain, na kafanya kweli UK msimu wake wa kwanza, na anafanya kweli anapokuwa timu ya Taifa ya Spain. Mnachoshindwa kuona ni kwamba, Ronaldo ananyanyasa timu za Uingereza mbofu mbofu...kitu ambacho hata Thierry Henry alifanya (ila mechi kubwa za Manu, Chelsea, Liverpool au Europe nilikuwa simtegemei TH hata siku moja).

Mimi mechi ya Barcelona kila wikiendi naangalia. I know what am talkin about. Messi asipokuwepo kwenye timu au hata Ronaldinho, mechi hainogi. Ndio maana watu wanalaumu Messi kaibeba Barcelona mwaka huu..too much responsibility for a young guy to carry Barca.

Roya nilkuwa natamani kumwaga maoni ynagu lakini am running out of time, ila umemaliza kazi hapo juu mkuu, Messi is too much individual...ni yeye tuuuuu!!, my vote to Ronaldo=Software, he will prove that on wedsnesday!!

We acha uongo, toa tu maoni usikimbie lol. Unaposema Messi is too mcuh individual, unataka tuanze kuangalia stats za assists sasa?

Stats nilizotoa hapo juu, mpaka sasa hivi Messi ni mkali zaidi, sasa kama ni individual asingefanikiwa hivyo.
Ngoja nitafute stats za Ronaldo wakati amecheza mechi 100 au 102 kwa Manu, tufananishe. Maana watu wamenogewa na English hype ya msimu huu. Waingereza hata David Beckham walimwona ni bonge ya mchezaji.

Ronaldo mchezaji mzuri sana tu, ila kwa Messi hafikii. Sanasana wanaomsifia Ronaldo na kumcompare na Maradona ni AF na Waingereza. Elsewhere........
 
Sikumbuki ni msimu upi but Manu 4 Arsenal 2
Ronaldo alifunga magoli mawili na game ilikuwa HIGHBURY ,ManU walicheza pungufu baada ya SILVESTRE kupewa red card
 
QUOTE
Ndio maana nasema Ronaldo anaweza UK tu, subiri tuone kama atafurukuta euro 2008 mwezi ujao tu!!
I could go on and on, ila kama we kweli unajua mpira, utaelewa kwamba Ronaldo anatamba ligi ya UK tu ambapo madefender wengi ni wachovu wa butua butua.....very average hawana skill (defender usipokuwa skillfull utazuiaje mchezaji skillfull? Tofauti na Europe au world football. We umeshawahi kumwona Ronaldo anamsumbua Glichy? Ashley Cole unaweza kusema 50/50, ila madefender wengine anawasumbua). Nje ya UK Ronaldo is an average player. Yaani mara mia hata Torres yuko proven.

Halafu tafuteni mechi ya Barca vs Getafe muone mambo Messi alifanya.....Ronaldo hawezi hiyo hata siku moja.


Messi kamfanya hata Thierry Henry aonekane mbovu. Na hapo ndio utajua ukiwa Uingereza sio kwamba uta-guarantee ufanikishe Europe. Hata wakati Thenry yuko Arsenal, Europe alikuwa anachemsha.....na ameonekana average Barcelona, alikuwa average Juventus. Ndo maana nasema Messi can fit any league comfortably.
QUOTE=

MKUBWA NAONA UNABABAIKA
Unasema RONALDO anashine EPL na sio ULAYA but ndio leading SCORER wa CHAMPS LEAGUE

Unasema ENGLAND kuna mabeki wabovu kuliko SPAIN kwa sasa PREMIER iko juu kuliko la LIGA hebu angalia ,TERRY,CARVARHO,VIDIC,FERDINAND,EVRA,CLICHY,SAGNA,CARAGHER,SKIRTEL
hebu nitajie hao mabeki wakali wanaocheza LA LIGA?

Ronaldo kazifunga timu karibu zote ENGLAND isipokuwa ManCity, Chelsea kwa hiyo timu zote England ni mbovu isipokuwa Chelsea na Man City?
Pia kwenye Champs League kazifunga AC MILAN, AS ROMA,LYON je hizo timu ni vibonde

Then unasema MESSI kafanya HENRY aonekane mbovu,jamaa ana matatizo mengi yaliyomfanya achemshe
1.Family problem with his wife
2.Alikuwa majeruhi na Barca walimlazimisha kucheza mwanzo wa msimu
3.Anapangwa nafasi ambayo si yake
4.Jamaa kwa sasa ndio anawabeba Barca mwishoni mwa msimu kafunga magoli 4 kwenye last 3 games hata game ya MAN ndio alionyesha UHAI

Henry hajachemsha kafunga magoli 18 jumla na assist 10
hajafunga kwa penati wala freekicks
Kwa wachezaji wa BARCA nafikiri anaongoza au kazidiwa na ETOO kidogo

Kuhusu goli lake la dhidi ya GETAFE ni kali but sio kigezo mbona GIGGS kawahi kuwapiga chenga wachezaji karibu 6 wa ARSENAL na akafunga

Then tunawacompare hawa wachezaji sasa hivi na sio misimu iliyopita ndio maana nasema AT THE MOMENT jamaa yuko HOT

Kuhusu comparison na MARADONA wako wachezaji wengi ambao wamelinganishwa na jamaa,ni kawaida ARGENTINA kila kizazi kipya cha soka
Wanatafuta mtu wa kumlinganisha nae but hakuna aliyemfika MARADONA
Jamaa alikuwa na skills kama za MESI but alikuwa na NGUVU hadi wasiompenda wakasema anatumia dawa ki2 ambacho MESI hana .Alibeba World Cup kitu ambacho warithi wake wote hakuna aliyefikia
Wachezaji kama ORTEGA,D ALLESADRO,TEVEZ, MESI wamefananishwa nae na sasa kuna kijana anaitwa SERGIO KUN AGUERO anachezea ATLETICO MADRID ndio anafananishwa na MARADONA
 
belo...
messi ni sayari nyingine, hebu tazama mechi yenu na wao ya juzi ni jinsi gani mabeki wako walivyokuwa wanaomba kwa allah mpira uishe kwa jinsi walivyokuwa wanapelekwa mchaka mchaka.
na pia nakukumbusha tu messi alitengeneza nafasi nyingi na ndiye mchezaji aliyekuwa akiingia kibarazani kwenu na kuonekana mwiba katika mechi zote mbili, na ndiye mchezaji ambaye nahisi sir alex aliwapa taarifa mabeki wake kuwa mchungeni zaidi huyu dogo. sasa wewe unavyokuja kutuambia kuwa ronaldo ni zaidi ya messi mi nasikitishwa.
But hebu tuambie ni kitu gani ambacho we unahisi ronaldo kinamfanya awe juu zaidi ya messi?
 
QUOTE
Ndio maana nasema Ronaldo anaweza UK tu, subiri tuone kama atafurukuta euro 2008 mwezi ujao tu!!
I could go on and on, ila kama we kweli unajua mpira, utaelewa kwamba Ronaldo anatamba ligi ya UK tu ambapo madefender wengi ni wachovu wa butua butua.....very average hawana skill (defender usipokuwa skillfull utazuiaje mchezaji skillfull? Tofauti na Europe au world football. We umeshawahi kumwona Ronaldo anamsumbua Glichy? Ashley Cole unaweza kusema 50/50, ila madefender wengine anawasumbua). Nje ya UK Ronaldo is an average player. Yaani mara mia hata Torres yuko proven.

Halafu tafuteni mechi ya Barca vs Getafe muone mambo Messi alifanya.....Ronaldo hawezi hiyo hata siku moja.


Messi kamfanya hata Thierry Henry aonekane mbovu. Na hapo ndio utajua ukiwa Uingereza sio kwamba uta-guarantee ufanikishe Europe. Hata wakati Thenry yuko Arsenal, Europe alikuwa anachemsha.....na ameonekana average Barcelona, alikuwa average Juventus. Ndo maana nasema Messi can fit any league comfortably.
QUOTE=

MKUBWA NAONA UNABABAIKA
Unasema RONALDO anashine EPL na sio ULAYA but ndio leading SCORER wa CHAMPS LEAGUE

Unasema ENGLAND kuna mabeki wabovu kuliko SPAIN kwa sasa PREMIER iko juu kuliko la LIGA hebu angalia ,TERRY,CARVARHO,VIDIC,FERDINAND,EVRA,CLICHY,SAGNA,CARAGHER,SKIRTEL
hebu nitajie hao mabeki wakali wanaocheza LA LIGA?

Ronaldo kazifunga timu karibu zote ENGLAND isipokuwa ManCity, Chelsea kwa hiyo timu zote England ni mbovu isipokuwa Chelsea na Man City?
Pia kwenye Champs League kazifunga AC MILAN, AS ROMA,LYON je hizo timu ni vibonde

Then unasema MESSI kafanya HENRY aonekane mbovu,jamaa ana matatizo mengi yaliyomfanya achemshe
1.Family problem with his wife
2.Alikuwa majeruhi na Barca walimlazimisha kucheza mwanzo wa msimu
3.Anapangwa nafasi ambayo si yake
4.Jamaa kwa sasa ndio anawabeba Barca mwishoni mwa msimu kafunga magoli 4 kwenye last 3 games hata game ya MAN ndio alionyesha UHAI

Henry hajachemsha kafunga magoli 18 jumla na assist 10
hajafunga kwa penati wala freekicks
Kwa wachezaji wa BARCA nafikiri anaongoza au kazidiwa na ETOO kidogo

Kuhusu goli lake la dhidi ya GETAFE ni kali but sio kigezo mbona GIGGS kawahi kuwapiga chenga wachezaji karibu 6 wa ARSENAL na akafunga

Then tunawacompare hawa wachezaji sasa hivi na sio misimu iliyopita ndio maana nasema AT THE MOMENT jamaa yuko HOT

Kuhusu comparison na MARADONA wako wachezaji wengi ambao wamelinganishwa na jamaa,ni kawaida ARGENTINA kila kizazi kipya cha soka
Wanatafuta mtu wa kumlinganisha nae but hakuna aliyemfika MARADONA
Jamaa alikuwa na skills kama za MESI but alikuwa na NGUVU hadi wasiompenda wakasema anatumia dawa ki2 ambacho MESI hana .Alibeba World Cup kitu ambacho warithi wake wote hakuna aliyefikia
Wachezaji kama ORTEGA,D ALLESADRO,TEVEZ, MESI wamefananishwa nae na sasa kuna kijana anaitwa SERGIO KUN AGUERO anachezea ATLETICO MADRID ndio anafananishwa na MARADONA

Hivi wewe ulisoma hesabu darasani?

Wewe ndio hueleweki na huelewi maana ya ratio. Champions League mwaka huu Ronaldo anaweza kuwa na mengi zaidi, tunacompare yeye na Messi. Na katika CL ya mwaka huu ratio ya Messi ni nzuri zaidi. Thats what makes Messi better. Simple mathematics, tunakwenda kwa stats. Ronaldo anaweza akafunga CL final average yake ikapanda, lakini kumbuka with fewer matches, Messi is even better.

Anybody can do step-overs, ila kuchanja timu, Messi does it better, hata mechi yao na Manu, Ronaldo hakuonekana. Na kama unaangalia mechi za Primera (zaidi ya kusikia kwenye bomba na kusoma magazetii), utakubali kwamba for entertainment value Messi yuko juu, na entertainment yake more effective. The STATS SHOW IT. Yeye hana step-overs zisizotoa poor end-product na wala hajiangushi angushi ovyo. Madefender wanamwangusha!!

Analysis ya mabeki uliowataja majority ni foreign na wako timu za Arsenal, Manu (sijui umechanganya na magoli ya training?), Liverpool na Chelsea. So your point is void due to my argument above (crap defenders play against Ronaldo), plus, magoli aliyofunga PL au UK msimu huu ni kama ifuatavyo;
Wigan (3), West Ham(3), Boro(2), Arsenal (2, 1 PENALTY-LOL),Aston Villa (2), Liverpool (1-baada ya Masch kupata kadi), Bolton (2),Derby (2, 1 penalty),NewC (4),Pompey (2), Tots (2, 1 penalty),Reading (1),Sunderland (1),Everton (2, 1 penalty),Fulham (2),Blackburn (2),Brummies (1),

http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/teams/m/man_utd/results/default.stm

Magoli yake dhidi ya Wigan, West Ham na NewCastle peke yake yanaonyesha jinsi timu zilivyo mbovu maana hata top scorers wao hawakufikisha magoli hayo katika timu hizo. Sasa madefender wakali wako wapi hapo?

Hiyo ya kulinganisha na Maradona ni subjective sana, hatutakubaliana. Tuiache hiyo. Wote hawajamfikia.

Tuangalie STATS....Yes Ronaldo kafunga magoli 40 na ushee.....lakini average is the same as Messi who has been injured and played less games.

Naona mmechenga swali langu. So far Messi kacheza mechi 102 senior timu ya Barcelona na ana magoli 70.

Wakati Ronaldo kafikisha mechi 100 au 102 alikuwa na kama magoli 39 tu.


Sasa basi, ukiangalia return per match ya msimu huu tu (Maana unang'ang'ania msimu huu tu), Ronaldo hajamshinda Messi kwa vyovyote vile. Ukiangalia kwa Total career goals.......Ronaldo is small time to Messi and I will keep telling you that unless you prove otherwise with Stats!!

Argument ya TH sijui unataka uidandie ya nini, kama unaangalia mechi za Barcelona basi ungejua kwamba TH kachemsha msimu huu, na sio mchezaji wa magoli 18 kama tulivyomzoea Arsenal alikuwa anafunga zaidi ya hayo!!Plus, sababu ya ubovu wa madefender wa UK, stats zake hata uangalie..........maan ngoja niache hii, jitege mwenyewe halafu nikujibu.
 
Mkuu Nzokhanyilu
Nimesoma HISABATI combination yangu ilikuwa PCM
Nakushukuru kukubali kuhusu MARADONA
Pia nakubaliana na wewe for ENTERTAINMENT MESSI hana mpinzani duniani
Mimi huwa naangalia sana LA LIGA na naisuport BARCA so najua kitu ninachoongea

Ushabiki wako unasababisha hadi unasema uongo

1.Si kweli kuwa kwa sasa DEFENCE ya LA LIGA ni nzuri kuliko PREMIER mbona statistics ziko wazi angalia mafanikio ya PREMIER team kwenye CHAMPS LEAGUE
Madrid walifungwa na GUNNERS,Barca walifungwa na MANU & LIVA last season ,Valencia alifungwa na CHELSEA,SEVILLE alifungwa na ARSENAL
Kwa sasa PREMIER wako juu kuliko LA LIGA hata TORES amekiri hilo

2.MESI hajamfanya HENRY aonekane mchovu
Nilitoa sababu za HENRY kuchemsha but jamaa alichemsha raundi ya kwanza but round ya pili ndio kaibeba timu
Umeangalia mechi za BARCA dhidi ya MADRID,MURCIA & VALENCIA.Kuhusu kufunga magoli 18 kumbuka akiwa ARSENAL alikuwa anapiga FREEKICKS,PENATI vitu ambavyo hapigi akiwa BARCA na MESI ndio anapiga penati.
Barca ni tofauti na ARSENAL kwani wana washambuliaji wengi mno MESI,ETOO,BOJAN,R10
but ARSENAL alikuwa peke yake asipocheza impact inaonekana

3.Then unakazania Ronaldo alikuwa na magoli mangapi alipokuwa kacheza game 100
tunamlinganisha Ronaldo wa sasa sio wa wakati anaingia MANU
Ndio maana nasema at the moment Ronaldo yuko juu

Time Ronaldo amekuja ManU kulikuwa na RUUD,SOLSKJAER,SHERIGHAM,FORLAN kipindi kile alikuwa anacheza kama WINGER na alikuwa anafunga magoli machache .Ronaldo kaanza kufunga magoli last season baada ya RUUD,FORLAN,SOLSKJAER kuondoka na SAHA kuwa majeruhi
Hata Champs League goli lke la kwanza alifunga mechi ya ROMA

4.Umesema EPL ina mabeki wabovu nikawataja baadhi ukasema ni foreign but umeshindwa kuwataja hao mabeki wakali wa SPAIN
 
Mkuu hujanielewa ama umeamua kutonielewa!
Nilisema simfahamu Messi kama Ronaldo! Kwa sentensi nyingine ningesema namfahamu Ronaldo kuliko Messi!

Mkuu mwache tuu huyu najua countdown ya Moscow inawapa kiwewe, tukitoka kidedea watapotea tuu hawa......

Its not over till its over!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom