Messi tena!

Kamakabuzi

JF-Expert Member
Dec 3, 2007
2,861
1,302
Messi amechaguliwa tena kuwa mwanasoka bora duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo. Amefikia rekodi ya Michel Platin.
Akiendelea hivi huenda akapata hata mwaka wa nne maana sioni nearest challenger kwa sasa. Aliopambana nao katika kinyang'anyiro hicho wanaelekea ku-decline! Hongera sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom