Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
"Wakati tunaelekea X-mass 2011, nakuombea furaha yako iongezeke kama bei ya petrol, utu wako uwe juu kama posho za wabunge, mashaka yako yapungue kama kura za CCM 2010, ila Umaarufu wako uongezeke kama ule wa Dk Wilbrod Slaa, hekima nazo zizagae kama bidhaa za Mchina, uwepo wako hapa JF uwe na thamani kama kiungo cha albino, ila Usiadimike sana kama Umeme wa Tanesco.... Wish You Merry X-Mass and Happy New Year!!" (This message is from Anna)