AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
kosa kubwa alilofanya ni kujiita KING OF KINGS! huwez chukua nafas ya Mungu kisa unawapa wa2 vi2 bure, atubu kwanza na kujinyenyekesha
Ume misqoute D5, wadhifa wowote ule ambao mwanadamu anatumia hauwezi kamwe ukatumika na kwa Mungu, kama alijiita King of Kings, let it be known ni kwa wanadamu lakini si kwa Mungu.