Qulfayaqul
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 480
- 84
duh hii italeta mtafaruku wa mambo, lakini waislam wana imani kwamba kama ukimlisha mtu kitu haramu hali ya kwamba ukijua ni haramu kwake na anayekula akawa hajui analishwa haramu basi kwake si haramu.i have just received a message from the number in question with the message of warning to all muslims,..goes like this and i quote..
My concern: Who gave my number to this anonymous?