LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Huyu mtangazaji anaboa sana kwa kutangaza kwa kujikomba. Utamsikia akisoma gazeti la Uhuru, nimeshika gazeti la chama, na mara nyingi linapewa umbele kusomwa. Wanasahau enzi za CHAMA NA SERIKALI zimekwisha.