punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Hayo maneno aliyokwambia ni makali sana kumwambia mpenzi wako. Lakini kuna vitu haviko wazi hapa. Ikiwa kweli ndo 'ugomvi' wenu wa kwanza, hukuwahi kumsikia akiropoka maneno makali hivo hata kwa watu wengine? Huyo jamaa ni mtumiaji wa kilevi chochote au? Na wakati anatamka hayo alikuwa sober au? Ni mawazo yangu kuwa kunaweza kuwa na sababu ambayo haijawa wazi hap.... Miaka mitano bila ugomvi halafu kutojibu meseji kwa dakika 30 iwe issue?!