Meseji yazua balaa

Graca

JF-Expert Member
Apr 24, 2011
471
152
Habari wana jf,
hebu niambieni endapo itatokea kwenye mahusiano yenu utafanyaje.

Umezoea kuchat na mwenza wako mara kwa mara unampenda sana na huna mahusiano na mtu mwingine.,sasa inatkea siku mnachati lakini kutokana uchovu wa kazi na mizunguko ya mchana unajikuta umepitiwa na usingiz,anakutext after 30mins ndo unaiona,unampigia kama mara tano ndo anapokea,sasa mnapoonana anakushutumu kuwa umemdharau na kukuinsult kua huna maana,eti watu wapo wengi sana wa maana zaidi yako,u have nothing special kumtreat hivyo etc,etc. Kama ni ww utafanyaje?
 
I'm so sorry to say
lakini hasira za namna hii
niza Ki pumbavu sana na za Kitoto.

Chakufanya ...
Mwacha aendelee kutukana we
ishia zako .. maana ukikaa hapo kumsikiliza
nawe utaonekana hauna akili. mwache apige
porojo zake akichoka au akimaliza rudi muongee
kiutu uzima..
 
i'm so sorry to say
lakini hasira za namna hii
niza ki pumbavu sana na za kitoto.

Chakufanya ...
Mwacha aendelee kutukana we
ishia zako .. Maana ukikaa hapo kumsikiliza
nawe utaonekana hauna akili. Mwache apige
porojo zake akichoka au akimaliza rudi muongee
kiutu uzima..

thanx dia,nimemwacha maana nimejaribu kumwelewesha the whole situation kua nilipitiwa na usingizi lakini hanielewi.
 
thanx dia,nimemwacha maana nimejaribu kumwelewesha the whole situation kua nilipitiwa na usingizi lakini hanielewi.

my dear
kuna watu wengine
wana feel insecure kwa sababu zao binafsi
mara nyingi hawataki kuzielezea.. nakushauri sana
kuwa mwangalifu na hili maana ukimwachia
sana atakuwa paranoid .. halafu hapo ndo
kasheshe mpauko mkitaka ku move forward.
usi kubali mtu aku control kiasi hicho sababu
inaanzia hivi halafu inaishia kuwa makubwa zaidi ..
Pole sana..
 
my dear
kuna watu wengine
wana feel insecure kwa sababu zao binafsi
mara nyingi hawataki kuzielezea.. Nakushauri sana
kuwa mwangalifu na hili maana ukimwachia
sana atakuwa paranoid .. Halafu hapo ndo
kasheshe mpauko mkitaka ku move forward.
Usi kubali mtu aku control kiasi hicho sababu
inaanzia hivi halafu inaishia kuwa makubwa zaidi ..
Pole sana..

thx dia maana am now feeling better as i had no one to talk to, the only thing which i did was crying.
Kwakweli,hata mi nimemshangaa sana leo the way he reacted,
 
i really dont know,and kusema ukweli i hav been very faithful to him cjawah kucheat na wala cna mpango huo.

kama anakupenda mbona anashindwa kukuelewa kwa issue ndogo kama hiyo, na hayo maneno makali aliyokutolea i doubt kama anakupenda kweli huenda ikawa anakutumia tu
 
thx dia maana am now feeling better as i had no one to talk to, the only thing which i did was crying.
Kwakweli,hata mi nimemshangaa sana leo the way he reacted,

Pole sana Mpenzi
watu wengine ndo walivyo..
Akitulia embu kaa chini muongee
muulize ni nini kulikoni ?? kuwa muwazi dear
mweleze kabisa hiyo tabia inakukera.. Ni vizuri
kuongea na mpenzio ukipendacho na ambacho hukipendi dear..
 
I'm so sorry to say
lakini hasira za namna hii
niza Ki pumbavu sana na za Kitoto.

Chakufanya ...
Mwacha aendelee kutukana we
ishia zako .. maana ukikaa hapo kumsikiliza
nawe utaonekana hauna akili. mwache apige
porojo zake akichoka au akimaliza rudi muongee
kiutu uzima..

Mtu kama huyu hata huko kuongea nae kiutu uzima sijui utaongea nae vipi, he has gone to far and blow the whole issue out of proportional, unajua hata kama una mtu wako halafu mkakoseana inabidi uangalie matamshi yako
 
kama anakupenda mbona anashindwa kukuelewa kwa issue ndogo kama hiyo, na hayo maneno makali aliyokutolea i doubt kama anakupenda kweli huenda ikawa anakutumia tu

hata mi ninajiuliza the same thing iweje kitu kidogo akikuze hivi.
 
pole sana mpenzi
watu wengine ndo walivyo..
Akitulia embu kaa chini muongee
muulize ni nini kulikoni ?? Kuwa muwazi dear
mweleze kabisa hiyo tabia inakukera.. Ni vizuri
kuongea na mpenzio ukipendacho na ambacho hukipendi dear..

thx swithat i will do that.
 
mtu kama huyu hata huko kuongea nae kiutu uzima sijui utaongea nae vipi, he has gone to far and blow the whole issue out of proportional, unajua hata kama una mtu wako halafu mkakoseana inabidi uangalie matamshi yako

yo very right,hakupaswa kubwatuka hivyo.
 
Mtu kama huyu hata huko kuongea nae kiutu uzima sijui utaongea nae vipi, he has gone to far and blow the whole issue out of proportional, unajua hata kama una mtu wako halafu mkakoseana inabidi uangalie matamshi yako

ni kweli kabisa dear
lakini kabla hajawaza mbali sana
mie naona ni bora waongee kwanza
halafu akiona jamaa yuko hovyo
na hafai "Ni type ya wale wanao abuse"
basi hapo ndio ningemshauri achukue hatua nyingine..

lakini si vema kuchukua hatua kali
haraka na wakati jamaa alikuwa na hasira
za hapa na pale tu ambazo zinatokeaga
mara nhingi kwenye relationship..
 
ni kweli kabisa dear
lakini kabla hajawaza mbali sana
mie naona ni bora waongee kwanza
halafu akiona jamaa yuko hovyo
na hafai "ni type ya wale wanao abuse"
basi hapo ndio ningemshauri achukue hatua nyingine..

Lakini si vema kuchukua hatua kali
haraka na wakati jamaa alikuwa na hasira
za hapa na pale tu ambazo zinatokeaga
mara nhingi kwenye relationship..

nimeamua nimwache hasira zake ziishe kesho nione kama ataongea na mm,kama akiwa kimya basi itabid nami nikae kimya tu. Nimemtext nikamwambia am sor nilipitiwa ucngiz yupo kimya.
 
ni kweli kabisa dear
lakini kabla hajawaza mbali sana
mie naona ni bora waongee kwanza
halafu akiona jamaa yuko hovyo
na hafai "Ni type ya wale wanao abuse"
basi hapo ndio ningemshauri achukue hatua nyingine..

lakini si vema kuchukua hatua kali
haraka na wakati jamaa alikuwa na hasira
za hapa na pale tu ambazo zinatokeaga
mara nhingi kwenye relationship..


Nimekupata vzr lakini unajua ku-deal na watu sampuli hii ni so difficult,sasa hebu niambie issue ndogo kama hii anashindwa kui - handle, likitokea kubwa zaidi ya hili si anaweza chinja mtu , hawa ndio walewale......
 
Nimekupata vzr lakini unajua ku-deal na watu sampuli hii ni so difficult,sasa hebu niambie issue ndogo kama hii anashindwa kui - handle, likitokea kubwa zaidi ya hili si anaweza chinja mtu , hawa ndio walewale......

inavyooelekea ni wanapendana sana
na labda hawajawahi gombana kwa hii ishu
( Ntamuuliza Graca) kwa hiyo kwao hii sio
ishu ndogo kama hawajazoea kutuangana
Kweli ni vema ku fix vitu kama hivi mapema
ili visije kwa vikubwa zaidi ndo maana nikasema
waongee kwanza halafu kuanzia hapo ataelewa
msimamo wa BF wake kwa kiwango fulani..
na hii itamsaidia ku make decision ya nini
kitakacho fuatia..
Sio Vema ku jump kwenye conclusion
straight away ..
Hope umenielewa ...Asante.
 
AD
I don't jump into any conclusion and i'm not judging any, any way inabidi Graca mwenyewe awe smart and she shouldn't entertain that kind of behaviour,the decision remain to be hers, all we can do is just to see how best we can try to give our advice
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom