Sikubishii ila mi nimeelewa au nimewaza tofauti.
Hapana hausiki anaposema kupitia simu ya dorothy wanamaanisha ni Handset tu kumbuka wale so called majambazi walimnyang;anya simu wakatupa line kwahyo walichomeka line yao(hapo ndio walipokosea) so kupitia line yao iliyochomekwa kwenye simu ya mwalimu dorothy ndio ikawa rahisi kufatilia hyo namba(iliyochomekwa kwenye simu ya mwalimu dorothy) ndio wakagundua hizo message,umeelewa?
Kwa mhalifu sidhani kama anaweza kuwaza option hiyo ya kuchomeka line yake kwenye handset ya mtu mwingine kwani hiyo ni rahisi kuwa traced, na hii haihitaji uelewa mkubwa sana kung'amua. Hata mtu wa kawaida kabisa anaweza akajua hilo kwa sababu line zote zimesajiliwa.
Ninachodhani ni kuwa hao jamaa walitumia line na handset ya doro kuwasiliana na upande mwingine. Walio-investigate wali-trace kule ambako hanset/line hii ilipeleka mawasiliano. Option hii nadhani ndo inaweza kuwa ngumu kwa mtu wa kawaida kuing'amua kuwa ni traceable.