Meseji niliyoikuta kwenye simu ya mke wangu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,833
155,781
Mchana huu wa leo mama watoto alinipitia na tukaenda kwenye kiji mgahawa kimoja hapo jirani na jengo la PPF tower.
Pale tukakutana na wafanyakazi wenzangu na hivyo basi mama watoto akawa akibadilishana nao mawazo.
Wakiwa wanaendelea na mazoezi nikawa nimeishika simu ya mama watoto ili nichue namba ya shangazi yangu aliyeko shamba.
Baada ya kuichukua ile namba nikaingia kwenye meseji.
Sina utamaduni wa kukagua simu ya mama watoto, hata yeye analijua hilo lakini leo sijui ni kitu gani kimetuma kufanya hivyo.
Hii ndiyo sms niliyoikuta kwenye simu yake "mi sina la kusema, coz najua hou u make me crazy on bed, roll it babe!"

Basi nikajiforwadia kwenye simu yangu, na nikaichukua namba ya huyo mtumaji ambaye anaitwa coleman.
Mpaka naachana na wife sikusema chochote na nikajaribu kuficha machungu yangu ili kati yetu asiwepo wa kujua na kuniuliza ni nini kimetokea.
Sitaki mnielekeze kuwa nimsamehe au nimuadhibu..
Nimeongea hapa ili kutoa donge la hasira na uchungu vilivyonijaa moyoni.
 
Mchana huu wa leo mama watoto alinipitia na tukaenda kwenye kiji mgahawa kimoja hapo jirani na jengo la ppf tower.
Pale tukakutana na wafanyakazi wenzangu na hivyo basi mama watoto akawa akibadilishana nao mawazo.
Wakiwa wanaendelea na mazoezi nikawa nimeishika simu ya mama watoto ili nichue namba ya shangazi yangu aliyeko shamba.
Baada ya kuichukua ile namba nikaingia kwenye meseji.
Sina utamaduni wa kukagua simu ya mama watoto, hata yeye analijua hilo lakini leo sijui ni kitu gani kimetuma kufanya hivyo.
Hii ndiyo sms niliyoikuta kwenye simu yake "mi sina la kusema, coz najua hou u make me crazy on bed, roll it babe!"

basi nikajiforwadia kwenye simu yangu, na nikaichukua namba ya huyo mtumaji ambaye anaitwa coleman.
Mpaka naachana na wife sikusema chochote na nikajaribu kuficha machungu yangu ili kati yetu asiwepo wa kujua na kuniuliza ni nini kimetokea.
Sitaki mnielekeze kuwa nimsamehe au nimuadhibu..
Nimeongea hapa ili kutoa donge la hasira na uchungu vilivyonijaa moyoni.


Kama hutaki msaada wa mawazo basi tayari umeshapitisha hukumu. Basi tupe hints kuhusu hiyo hukumu. Vinginevyo kutua yaliyo moyoni ni pamoja na kutafuta ushauri + sympathy.

Binafasi nimeguswa sana na pole kwa yaliyo kukuta. Ukiweza kulimaliza hili basi huenda hutakuwa na mtihani mwingine mkubwa maishani. Time and locations are key to healing. Jipe muda na ikiwezekana chukua likizo ukae mahali tofauti ili uweze kulitafakari hili jambo!
 
Hii bandiko linaonyesha kuwa siyo wewe uliyepatwa na hilo jambo - Ni story ya kutunga a.k.a kusadikika.

UJUMBE: kwa wale wenye tabia ya kuchonokoa simu za wenzi wao watambue kuwa watakutana na meseji nzuri zaidi ya hiyo!
 
Mchana huu wa leo mama watoto alinipitia na tukaenda kwenye kiji mgahawa kimoja hapo jirani na jengo la ppf tower.
Pale tukakutana na wafanyakazi wenzangu na hivyo basi mama watoto akawa akibadilishana nao mawazo.
Wakiwa wanaendelea na mazoezi nikawa nimeishika simu ya mama watoto ili nichue namba ya shangazi yangu aliyeko shamba.
Baada ya kuichukua ile namba nikaingia kwenye meseji.
Sina utamaduni wa kukagua simu ya mama watoto, hata yeye analijua hilo lakini leo sijui ni kitu gani kimetuma kufanya hivyo.
Hii ndiyo sms niliyoikuta kwenye simu yake "mi sina la kusema, coz najua hou u make me crazy on bed, roll it babe!"

basi nikajiforwadia kwenye simu yangu, na nikaichukua namba ya huyo mtumaji ambaye anaitwa coleman.
Mpaka naachana na wife sikusema chochote na nikajaribu kuficha machungu yangu ili kati yetu asiwepo wa kujua na kuniuliza ni nini kimetokea.
Sitaki mnielekeze kuwa nimsamehe au nimuadhibu..
Nimeongea hapa ili kutoa donge la hasira na uchungu vilivyonijaa moyoni.

pole ndugu yangu haya ndo madhara ya maendeleo, usinyamaze mbane vilivyo akueleze, ikibidi tumia tena simu kumjibu huyo coleman ukijifanya ndo mkeo, utajua mengi zaidi, unaweza uliza ni lini nilkumake crazy zaidi?
 
Mchana huu wa leo mama watoto alinipitia na tukaenda kwenye kiji mgahawa kimoja hapo jirani na jengo la ppf tower.
Pale tukakutana na wafanyakazi wenzangu na hivyo basi mama watoto akawa akibadilishana nao mawazo.
Wakiwa wanaendelea na mazoezi nikawa nimeishika simu ya mama watoto ili nichue namba ya shangazi yangu aliyeko shamba.
Baada ya kuichukua ile namba nikaingia kwenye meseji.
Sina utamaduni wa kukagua simu ya mama watoto, hata yeye analijua hilo lakini leo sijui ni kitu gani kimetuma kufanya hivyo.
Hii ndiyo sms niliyoikuta kwenye simu yake "mi sina la kusema, coz najua hou u make me crazy on bed, roll it babe!"

basi nikajiforwadia kwenye simu yangu, na nikaichukua namba ya huyo mtumaji ambaye anaitwa coleman.
Mpaka naachana na wife sikusema chochote na nikajaribu kuficha machungu yangu ili kati yetu asiwepo wa kujua na kuniuliza ni nini kimetokea.
Sitaki mnielekeze kuwa nimsamehe au nimuadhibu..
Nimeongea hapa ili kutoa donge la hasira na uchungu vilivyonijaa moyoni.


Pole sana Mkuu, lakini make sure to control your anger, although in this situation it is very difficult.
 
pole sana,
Huhitaji ushauri lakini fikiria kuwa kama na wewe unacheat YEYE NI MWANADAMU PIA .pole sana inauma.


hapana!!!!!!!!!!!!!!!!!! hakuna usawa kama huu!

back to the point.

nakuponkeza mkubwa kwa kifua halisi cha kiume. sasa tengeneza mtego halafu uondoke na mbwa wa mtu.

sasa msg umeona live eo ataingia home na wewe utapata usingizi kweli???????

nakushauri ukalale gest angalau kwa leo, isije kutokea immergency ukaua mtu
 
i dont care kama ametunga ama la... ninachweza kumwambia ni kuwa kama aliandika hapa kutoa hasira its ok... HE can even cry... na la zaidi DISTANCE its a best medicine aende mbali na mazingira yaliyomzoea (namaanisha kuanzia majrani nyumbani, kazini na chochote kile ambacho amezoea kukiona na kukifanya) kwa mda akae huko alerax then akirudi wakae waongeee wakati temper imeshuka ...

+++++++++++++++++
SOMETIMES DISTANCE IS THE BEST MEDICINE....but Know your Direction
 
hapana!!!!!!!!!!!!!!!!!! Hakuna usawa kama huu!

Back to the point.

Nakuponkeza mkubwa kwa kifua halisi cha kiume. Sasa tengeneza mtego halafu uondoke na mbwa wa mtu.

Sasa msg umeona live eo ataingia home na wewe utapata usingizi kweli???????

Nakushauri ukalale gest angalau kwa leo, isije kutokea immergency ukaua mtu
asante kwa ushauri binamu
 
Pole sana mkuu.
Ingawa binafsi nakuombea iwe haijatokea kwako kama alivyosema mtu mmoja hapo juu. Suala hili lisikie kwa mwenzio likitokea kwako ni balaa!! Kwa kuwa umesema tusikupe ushauri wala kuongeza neno lolote naamini kama imetokea kweli, then mungu akupe busara ya kuyakabili haya mambo mazito.
 
i dont care kama ametunga ama la... ninachweza kumwambia ni kuwa kama aliandika hapa kutoa hasira its ok... HE can even cry... na la zaidi DISTANCE its a best medicine aende mbali na mazingira yaliyomzoea (namaanisha kuanzia majrani nyumbani, kazini na chochote kile ambacho amezoea kukiona na kukifanya) kwa mda akae huko alerax then akirudi wakae waongeee wakati temper imeshuka ...

+++++++++++++++++
SOMETIMES DISTANCE IS THE BEST MEDICINE....but Know your Direction
kwa maana hiyo, kama akaa Mwenge, ahamie Mbagala spiricho centre kwanza kwa muda??

NO.... fanya utaratibu fasta umkamate huyo jamaa ukiwa na wahuni wanne hivi wapeane zamu tu na picha kibao wapige wakiwa kwenye kilimo mseto. baada ya hapo we rudi home na mamsapu mpeleke dina la maana na ukatekeleze sera kama hakijatokea kitu vile.
 
Iam trying to figure out the situation, but i cant easily digest it...Ni mwizi gani huyu atakayeingiza sms ya namna hiyo kwa mke wa mtu!..";mi sina la kusema, coz najua hou u make me crazy on bed, roll it babe"....Sms ni ushahidi mzuri sana kimahakama....Huyo mwanamke nae si wako kama anakaa kimya na sms ya namna hiyo bila kuisalimisha kwako...this is living with a devil..icant believe!..Ni mkeo au girlfriend?...embu kuwa serious basi Bujibuji...Ningekuwa Dar ningekutafuta unionyeshe mwanamke wa aina hiyo anafananaje...gooosh!...Yani it pains me more than 2u!...Jesus!
 
Mkuu dont just jump into conclusion! Unahitaji kufanya uchunguzi wa kina... pengine unalofikiria sivyo au kuna zaidi ya hilo. So fanya uchunguzi kwanza usijiumize kwa mawazo coz it could be ni rafiki yake katumia hiyo simu or sth else.
 
Back
Top Bottom