Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,201
- 113,481
Hii benki kwenye mid 90s ilikuja kwa kasi sana. Baada ya muda si mrefu tukaanza kusikia imeanza kusambaratika.
Hatima yake sijui iliishia vipi. Nani anaikumbuka hii benki? Au wengi wenu humu bado mlikuwa shule za vidudu na msingi?
Hatima yake sijui iliishia vipi. Nani anaikumbuka hii benki? Au wengi wenu humu bado mlikuwa shule za vidudu na msingi?