Nsaji Mpoki
JF-Expert Member
- Nov 5, 2007
- 396
- 65
hilo lisikutie shaka, in case of unforeseen event the report will be released independently of this base and freely. No one can stop it, isipokuwa mungu.
ondoa shaka. Hivi sasa public service ya tanzania ime collapse kabisa. Hakuna direction na hakuna anayejua nini cha kudhibiti. Hata wakidhibiti waraka huu nyingine zaidi ya hizi zitatoka tu. Oneni aibu za juzi bungeni. Pinda na timu yake wamewasilisha taarifa wanasema akina hosea wamepewa onyo. Bunge likaja juu. Baada ya saa chache mkuu wa public service anasema uchunguzi umekamilika na adhabu za wahusika wa richmonduli zitatoka hivi karibuni. Mnapata nini pale kama siyo confusion tu.