KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
- Thread starter
- #21
Mbona niwewe kusema tuna deliver on door step!!wewe sema!!Chips Swala 2000 naipataje hii@Kakakiiza
Mbona hujawai kuniambia??nina menu tofauti na navionjo pia tofauti!!express ur self mama!!mwaaaaa!sawa darling....na mimi ndio maana nikakuchagua kwa sababu unajua menu za maana.......
Toa oder ya ukweli na kiasi gani!!haahaahaahaahaa hii kali aisee! nimecheka hadi mbavu zinauma du! mi naomba huo mchemsho na pilipili ya kutosha
Lakini ni vitu expensive ukumbuke!!simchezo!nimependa sana hiyo kwenye bold, niandalie bill please!!
Mimi nifundishe ku tag!Kongosho mzima wewe!! Nifundishe best, unagongaje double like? Lol!
Mkuu hanohano be!!!Juicy ya dodoki 300
nipe hiyo mkuu
najua itanifaa kwenye huu uzee.
hiyo bei ni hela ya madafu au ya kwa mzee obama mkuu.