ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
[h=1]Makange ya kuku [/h] |
Mahitaji-kuku 1 -karoti 3 -vitunguu maji vikubwa 2 -vinega/limao/ndimu -pilipili kiasi -mafuta ya kukaanga Jinsi ya Kuandaa -Kata kata kuku -kaanga kuku -weka vinega/limao/ndimu kwenye bakuli katia humo na pili pili -tia kuku funika bakuli tikisa ichanganyike. -chukua kikaango katia kitunguu na mwagia wale kuku -katia karoti na hoho acha zichanganyike kwa dakika 5 -ipua na pakua tamu eeeh! |