Maumivu ya jino {TOOTHACHE}. Changanya sehemu tano za asali, na sehemu moja ya mdalasini na tumia kwa maumivu ya jino.
Dondoshea kwenye jino au meno yaliyoathirika hadi maumivu yatakapotoweka.
Mafizi kutoa Damu inaonyesha huyo Dada yako ana upungufu wa Vitamini C mwilini Uwe unatumia Vitamin C kila siku hayo matatizo ya Mafizi kutoka Damu yatasimama.
mimi nilikuwa na tatizo kama lako,nilipoenda hosp waligundua ya kuwa jino lilikuwa limeota hozizontal,na dawa yake ni kulitoa na huwa linatoa damu kuliko kawaida.nakushauri uende pale mnazi mmoja ua muhimbili kwa matibabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.