Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Kwenye habari ya leo saa 2.00 usiku, ITV wameonesha meno yapayo 1241 yakiwa
yanasafirishwa kwa njia haramu bandari ya Zanzibar.
Imeongezwa kuwa polisi walishtukia magunia hayo yaliyokuwa na dagaa na ndani yake yakiwa yamefichwa mano hayo.
Mwandishi ameeleza pia kuwa bandari ya Zanzibar haina vifaa vya kisasa hivyo wahujumu uchumi hawa huwa
wanapita hapo sana.
Mmoja alikuwa ni mchina na ndo mmiliki na mbongo mmoja alikuwa anafatilia mzigo huo.
Walionekena maaskari wakichoma choma kwenye magunia hayo kwa vyuma ambavyo naamini ni
kama vya kujitengenezea. Nimeshangaa sana! Hiyo ndo Tz! Ila tujiulize yafuatayo:
yanasafirishwa kwa njia haramu bandari ya Zanzibar.
Imeongezwa kuwa polisi walishtukia magunia hayo yaliyokuwa na dagaa na ndani yake yakiwa yamefichwa mano hayo.
Mwandishi ameeleza pia kuwa bandari ya Zanzibar haina vifaa vya kisasa hivyo wahujumu uchumi hawa huwa
wanapita hapo sana.
Mmoja alikuwa ni mchina na ndo mmiliki na mbongo mmoja alikuwa anafatilia mzigo huo.
Walionekena maaskari wakichoma choma kwenye magunia hayo kwa vyuma ambavyo naamini ni
kama vya kujitengenezea. Nimeshangaa sana! Hiyo ndo Tz! Ila tujiulize yafuatayo:
- hao tembo walikufa wangapi?
- lini waliuliwa?
- mali asili walikuwa wapi?
- mzigo wote huo umetokea wapi?
- kina nani wamehusika?
- ni mangapi yamekuwa yakiibwa kwa siku, mwezi au mwaka?