kure11
Senior Member
- Apr 10, 2011
- 110
- 26
naomba tujuze zaidi juzi nimemuuliza dadangu akasema ni lazima kufanyiwa hiyo kitu kila baada ya miezi sita ,usipofanya meno yanakuwa na kama vidotidot vyeusi na kufubaa kabisa,kuna ukweli ndugu?????????Hii dental clinic iko hapa Dar es salaam, city center; mtaa wa Asia. Doctor anaitwa Dr. Mohamedali and the clinic's name is SD Dental Clinic.
You can go w/out appointment