mangulumbwisi
Member
- Apr 19, 2012
- 77
- 22
Habari za leo?
Mwanangu anasumbuliwa na meno yale ya mwisho, amevimba fizi, hataki kula hata chakula
nimsaidiaje mwanagu, ameshindwa hata kupiga mswaki, nimpe dawa gani?? msaada please najisikia vibaya nashindwa hata kufanya kazi.
Mwanangu anasumbuliwa na meno yale ya mwisho, amevimba fizi, hataki kula hata chakula
nimsaidiaje mwanagu, ameshindwa hata kupiga mswaki, nimpe dawa gani?? msaada please najisikia vibaya nashindwa hata kufanya kazi.