Meno mtoto wa miaka miliwi

mangulumbwisi

Member
Apr 19, 2012
77
22
Habari za leo?
Mwanangu anasumbuliwa na meno yale ya mwisho, amevimba fizi, hataki kula hata chakula
nimsaidiaje mwanagu, ameshindwa hata kupiga mswaki, nimpe dawa gani?? msaada please najisikia vibaya nashindwa hata kufanya kazi.
 
mpe dawa za kutuliza maumivu zenye anti inflamatory, azingatie na usafi wa kinywa hata kwa kusukutu na maji safi ya uvuguvugu yenye chunvi kidogo. Ni self limiting ila tatizo likizidi mwone dentist.
 
Back
Top Bottom