Kusema za ukweli serikali ya JK ni nzuri sana lakini tatizo ni viongozi waliopo madarakani.
Sasa Kikwete hayuko madarakani na serikali yake? grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Yaani hapa nazungumzia mawaziri na manaibu wao. Unajua mkuu hii serikali ukiichunguza kwa umakini ina malengo mazuri sana ya kututoa kwenye umaskini. Lakini kwa bahati mbaya viongozi ikiwa ni pamoja na mawaziri ndiyo wanaoharibu kila kitu. Mimi kwa kweli sina tatizo na serikali ila ninaona maadui zetu wakubwa ni mawaziri.
Kusema za ukweli serikali ya JK ni nzuri sana lakini tatizo ni viongozi waliopo madarakani.
sasa serikali kwani si ni watu? na watu hao wengine si ni mawaziri? au mawaziri ni mawaziri wa serikali gani kama siyo hiyo hiyo yenye "malengo mazuri"?
Stupidity ought to be painful...unfortunately stupidity is no handicap!
FF mtoto wa Kariakoo leo ameshuhudia na kudhihiri utendaji 'nadhifu' wa serikali 'sikivu' ya JK..this is hilarious..Funguka FF funguka, ukiamua kufunguka utayaona na kuyasikia madudu mengi sana yanayofanyika ndani ya hii Serikali dhalimu.
Naona saa ya ukombozi inakaribia kama hata kina Zomba sasa wamefumbuka macho na kuona dhulma za serikaali hii. A luta Continua; Mapambano yanaendelea!By Zomba
Iwe isiwe, kuna malalamiko mengine mengi ya upinzani yana ukweli ndani yake.
Nasema hili kwa kuwa nimeshuhudia dhulma zinazofanywa na Serikali kwa macho yangu. Ukweli ubaki kuwa ukweli.
Well said Mkuu, yafaa Zomba aelewe kuwa hata sisi tulikuwa makada wa CCM tena wapiganaji wa mstari wa mbele; lakini tulibadilika tulipobaini matatizo.Naona saa ya ukombozi inakaribia kama hata kina Zomba sasa wamefumbuka macho na kuona dhulma za serikaali hii. A luta Continua; Mapambano yanaendelea!
Nitasema kweli daima, fitina kwangu ni mwiko.Nitasema kweli daima, uongo kwangu mwiko!
Mpaka yakukute mwenyewe ndio unajua sio?ndio Ukome
kila siku tunapiga kelele wanyonge wanavyoonewa na POLICCM, TBCCM na serikali yenu Chama cha Magambaz lakini wewe unabeza, Thank God yamekukuta na Mungu hamfichi mnafiki
Nadhani kuanzia sasa utakuwa umeanza kuelewa maana ya kuvua gamba na kuvaa gwanda ni nini.