Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,270
- 675
WanaJF bado najiuliza kinachoendelea kwa vyombo vya IPP( ITV na Radio one etc) vya mzee mengi. Muda mrefu mzee huyu amekuwa akipambana na mafisadi lakina sasa naona wanatokea mlango wa nyuma na kuanza kuhujumu wafanyakazi wake.
Mimi nahisi TBC na Clouds FM chini ya RA wako behind this, kuna movement kubwa ya wafanyakazi wa IPP kwenda Clouds fm na TBC. Hapa naomba msiangalie kuwa hawa watu kuama ni kwa masilahi yao lakini kuna kitu kiko nyuma yao
Hizi Radio na TV zinatumiwa sana na mafisadi
Denken buiten de doos
Nawakilisha
Mimi nahisi TBC na Clouds FM chini ya RA wako behind this, kuna movement kubwa ya wafanyakazi wa IPP kwenda Clouds fm na TBC. Hapa naomba msiangalie kuwa hawa watu kuama ni kwa masilahi yao lakini kuna kitu kiko nyuma yao
Hizi Radio na TV zinatumiwa sana na mafisadi
Denken buiten de doos
Nawakilisha