Wanasheria wa Reginald Mengi wakutana na waandishi wa habari na Kumjibu Rostam Aziz

Status
Not open for further replies.
Suluhu ya Taifa hili wanayo wananchi, na si viongozi, tukiendelea kuwa hivi tulivyo, na hali tusitegemee kama itabadilika.
 
tinasubiri hii vita ya nyangumi na papa jamani!tipeni updates
 
...mkutano wa mengi leo unatakiwa kuzuiwa na vyombo vya usalama ..kwa kuwa unaaingiza nchi kwenye malumbano yasiyoisha .....muda wa mengi kuanza kusumbuliwa na dola wazi umefika ..uvumilivu wao umefika kikomo...

sio mengi tu hata rostam hatakiwi kuzungumza tena....wote wameongea sasa waachie polisi na mahakama zifanye kazi...wasigawe wananchi..

katika taratibu za kawaida za usalama ndio hivyo...sasa ndio tutajuwa kama kweli rais ameapa kulinda usalama wa wananchi au la...hatuwezi kuwa na taifa la kiumbea umbea wa kusutana kama wake wenza ...miaka mitano yote tumekalia kusutana tu hakuna kinachofanyika .... we are tied with this weak gorvernment....watuache tufanye kazi!!
 
naomba nielekezeni Heidery pulaza iko wapi wajamini, niende hukoko huko, hata nikichelewa, lakini nijue nimeshiriki katika siku ya leo.
 
inawezekana leo ikawa siku ya kihistoria ya nchi hii ya tanzania, mtanikumbuka.......
 
Wewe uko mitaa gani ?? Ni pembeni mwa posta mpya angalia hiyo petrol station kuna gorofa ngazi zinakwangalia
 
waiting .......jamani waandishi wa bongo hawana video camera at zile za pocket?? ushauri mdogo..fungueni youtube channels kama NTV KENYA. Muwe unarusha vitu fasta..itasaidia sana im surprised waandishi wa bongo hawatumii hizi technology ipasavyo.
 
...mkutano wa mengi leo unatakiwa kuzuiwa na vyombo vya usalama ..kwa kuwa unaaingiza nchi kwenye malumbano yasiyoisha .....muda wa mengi kuanza kusumbuliwa na dola wazi umefika ..uvumilivu wao umefika kikomo...

sio mengi tu hata rostam hatakiwi kuzungumza tena....wote wameongea sasa waachie polisi na mahakama zifanye kazi...wasigawe wananchi..

katika taratibu za kawaida za usalama ndio hivyo...sasa ndio tutajuwa kama kweli rais ameapa kulinda usalama wa wananchi au la...hatuwezi kuwa na taifa la kiumbea umbea wa kusutana kama wake wenza ...miaka mitano yote tumekalia kusutana tu hakuna kinachofanyika .... we are tied with this weak gorvernment....watuache tufanye kazi!!

Katiba ya nchi inampa kila mtu uhuru wa kuongea ili mradi asivunje sheria, wewe unaejifanya "mwanausalama" kwa nini unataka kuwaziba watu midomo, waacheni waongee wakichoka watalala, Serikali isijiingize kwenye hili jambo, kwani ni mpaka pale mmoja wa hawa atakapoamua kulipeleka suala kwenye sheria, Mahakamani hapo ndipo litatakiwa likemewe na serikali kuwa wanaingilia uhuru wa mahakama. Kwa sasa kumzuia mtu ku "vent emotions" ni kutumia madaraka vibaya na kuvunja katiba.

Mengi ni ordinary citizen mwenye uhuru wa kutoa mawazo yake kama mwananchi, wa kuzuiwa ni RA ambaye yeye ni elected official ambaye anakidhalilisha chama chake kwa kuongea na Ordinary citizen.

Hakuna polisi wala UWT, wakati wa udikteta umeisha kumbuka "the culture of silent" is no longer practical in Tanzania.
 
Last edited:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom