The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Hapo ndipo anapokosea.JK hawezi kuwa inspiration ya mapambano dhidi ya ufisadi.Instead,yeye ni sehemu muhimu ya ustawi wa mafisadi.
Kwa kifupi ni kuwa Mengi nae ni FISADI ndio maana anapewa nguvu na JK ambaye anaendesha serikali ya KIFISADI.