Mengi and Litigations

Status
Not open for further replies.
911,

Thanks kwa kumweleza ukweli gembe anaye someshwa na fisadi(bado hajakana) ngoja niweke hapa nini alisema katika hizo link ulizo weka hapo juu ili iwe rahisi kwa watu kuunganisha chuki yake kuprove kuwa ukifadhiliwa na fisadi kweli lazima tu umchukie mengi.

Mengi anachukia mafisadi
Mafisadi wanamsomesha gembe
Gembe atamchukia mengi ( hii itatokea automatic kama ulivyokili)

Sasa soma maneno ya gembe hapo chini kutoka kwenye kinywa chake

"Ndiyo mana huwa simpendi Mengi na nitasimamia hapo hapo...Mzee huyu anajidai ni msaada kwa watanzania ila hana chochote" na hiyo nyingine unasema "Inaezekana Mengi akawa hana kosa ila Mie Personally simpendi Mengi.Hivyo ndivyo nilivyo"
Gembe ushindwe na ulegee tuachie Mengi wetu bwana
Asante sana Mkuu Shalom,

sasa ndugu Gembe usitake kutupotezea muda wetu wa kupambana na mafisadi kwa chuki zako binafsi dhidi ya Mengi!

Labda ukitaka tuendelee kuchangia mada yako hii tunaomba uweke wazi ni sababu zipi binafsi zinazo kufanya umchukie Mengi kama ulivo sema hapo juu??Vinginevyo usitake kuuza chuki zako kwa mengi kwa watu wengine tusio husika!

Binafsi namfagilia sana Mengi hasa kwa jitihada zake na misaada yake mikubwa anayo itoa kwa jamii mbali mbali ya watanzania wenye uhitaji. Angekuwa mbinafsi naye angeenda jenga mahekalu ushelisheli kama akina yahe....
 
Mkuu Mwanakijiji,
Wee Umeamua kugeuza tu kwa manufaa yako binafsi na mapenzi yako binafsi kwa Mengi au?

We are talking about reality and this is exactly truth that people need to know.Inawezekana vipi mtu mmoja awe na ugomvi na watu zaidi ya kumi na kila mtu atatumia Meadia yake kupambana nao.

kwa ulivyogeuza inaonesha kuwa tayara yeye ni threat kwa kila mtu na siku zote inakuwa ni kwenye maslahi.

anyways for thos who have said nasomeshwa na FISADI,kusomeshwa na fisadi or what haikusaidia wewe binafsi na inanisaidia mimi ,so keep queit!

wewe uliyefika hapo unajuaje hata hiyo pesa uliyopewa na baba yako kipindi kile ilipatikana katika mazingira ya kifisadi au la.

Yaani mtu ukisema jambo la mtu ambaye anajionesha anapigania ufisadi basi wewe unaonekana FISADI?Period this things will take us pahala pabaya sana

Gembe, binafsi sijawahi kumuona Mengi anamfanyia fitina mlalahoi. Vita vyake au ugonvi wake wote ni kati yake na mafisadi. Hata ugomnvi wake na the comedy ulisababishwa na ugonvi wake na Manji, period. Na kwa kifupi tu ni kwamba ugonvi kati ya Mengi na Makaburu wa kitanzania utakoma pale tu mafisadi watakaposhindwa katika vita hivi kati ya mafisadi na walalahoi wa nchi hii! Mwache Mengi awapiganie wanyonge wa nchi hii!

Angalizo:

Nitahitirafiana na Mengi pale tu endapo atathubutu kutumia vibaya uaminifu tulionao kwake hatimaye akajiingiza kwenye siasa chafu na hata kutaka kuwania nafasi ya u-president wa nchi hii. Hapo nitaenda against him na nina sababu za msingi! Si kila mtenda jema anafaa kuwa president!
 
Last edited:
Mengi VS Manji
Mengi vs Comedi
Mengi vs Mkapa
Mengi vs Masha
Mengi vs Mtikila
Mengi vs Gembe
Mengi vs Basaleh
Mengi vs Present owners Kilimanjaro Hotel
Mengi vs Mzungu wa Shamba la Arusha
Mengi vs Present owners Tanganyika Packers
Mengi vs RA?
Mengi vc Masilingi
Mengi vc Hilal(Phantom)
Mengi vc Tramantano(Channel 10)
Mengi vc Ritah Poulsen?

Mengi vs Jeetu Patel
Mengi vs Chenge
Mengi vs Karamagi
Mengi vs Lowassa
Mengi vs Maranda
Mengi vs Subash Patel
Mengi vs Mr/Mrs Mahalu
Mengi vs Mramba
Mengi vs Yona
Mengi vs Mgonja
Mengi vs Liyumba
Mengi vs..???.. (tusubiri kesi mpya list iongezeke)
 
Mengi vs Jeetu Patel
Mengi vs Chenge
Mengi vs Karamagi
Mengi vs Lowassa
Mengi vs Maranda
Mengi vs Subash Patel
Mengi vs Mr/Mrs Mahalu
Mengi vs Mramba
Mengi vs Yona
Mengi vs Mgonja
Mengi vs Liyumba
Mengi vs..???.. (tusubirikesi mpya list iongezeke)

Bahati kila nyongeza ya Mengi Vs.... wote wanaotajwa kuwa kinyume cha mengi hakuna aliye safi hata mmoja! Ni mafisadi hata kabla hawajfikiswa Mahakamani; hata kama Mahakama itawaachia watabaki kuwa Mafisadi tu.

Kisa cha bifu lote hilo ni Magazeti ya IPP kutoa taarifa kwa umma juu ya Mafisadi hao na Wapambe wao wenye mirija ya kufyozea damu zetu. Ole wenu!
 
I don’t know Mengi at personal level; but ITV; make him present in my life anyways. At begging, in 2007, I could tolerate his presence on the media. However, of recent, for unknown reason whenever Mengi is on, I turn my TV to another channel… I am not sure why! Maybe his media strategy has over represented him! Maybe there is no logical of cases his following, which make it impossible for me to appreciate his value. Thus far, I don’t understand six things of Mengi!

a) First, I am not sure weather he want to be in politics on not.
b) Second, I am not sure if he is on humanitarian mission or missionary mission
c) Third, I don’t know weather he want to be symbolic entrepreneur or symbolic speaker! Of what, I am not sure!
d) Fourth, I am never sure weather he is serious concerned on the matter he stand for, or it is simple a public speech.
e) Fifth, when he speaks I am not sure weather he is speaking to the international community or Tanzania people
e) Six, I am not sure if what he speaks is delivered from his own brain or he uses advisor.

Since, I am not sure of the above; I find it very difficult to understand his interest on ufisadi, weather he acts for his egoistic interests, business gains, or sincerely patriotic causes. I am not sure!

A colleague of mine, beside me critiques me, saying I am biased toward Mengi, as he defines him as a man of people, supporter of communities and an example to follow in media and entrepreneur business. I give him respect for that and I am saying what a person! But I feel I would like to know more about this individual, what his central agenda on Ufisadi! If he is for really!

For me, i think i might appreciate him more, if he provide one hour on ITV each day for citizens to speak their cases to their leaders from now to the election time! To create something, like community court on TV where leaders of – government and parliamentary- can be on hard talk and hotlines questioned on their leadership or citizen speak of their issues on their constituency!

You have mentioned alot of things of which you dont understand! What have you done to him better? Because if you think there is something behind then you should research on it, to get the answers!

To me i think everything speaks by itself issue of Mengi vs Masilingi (mengi was turned down to buy Kilimanjaro hotels), Mengi vs Manji (his news paper wrote about manji and nssf), Mengi vs Malima (Malima complains that mengi give himself more air time than president, on a private media!), Mengi vs Masha (looks like mengi's news paper against ufisadi) etc. This happenes even to others but the only thing that mengi has over others is he own many news papers and Television, so he publicise his issues. You cant compare it with Mwanahalisi against mafisadi or Tanzania daima against government. Its alone but this guy has his media support.

Most of the time, he is a centre of attention because his news papers and tv.

Its better if there is something fishy let us know.....
 
Mengi VS Manji
Mengi vs Comedi
Mengi vs Mkapa
Mengi vs Masha
Mengi vs Mtikila
Mengi vs Gembe
Mengi vs Basaleh
Mengi vs Present owners Kilimanjaro Hotel
Mengi vs Mzungu wa Shamba la Arusha
Mengi vs Present owners Tanganyika Packers
Mengi vs RA?
Mengi vc Masilingi
Mengi vc Hilal(Phantom)
Mengi vc Tramantano(Channel 10)
Mengi vc Ritah Poulsen?

Huyu nae ni fisadi????Waungwana naomba maelezo maana yawezekana upeo wangu ni mdogo!!!
 
Mkuu stop being subjective, am grateful 911 has exposed your hypocricy and double standard through the contents of your earlier threads on Mengi.
Hakuna wa kumfunga paka kengele Mengi akijitahidi nongwa and take it from me mafisadi and their cronies will never stand the HEAT this coming election. Watanzania wajuaji siku hizi
 
"Huyu nae ni fisadi????Waungwana naomba maelezo maana yawezekana upeo wangu ni mdogo!!!"

******************

LOI: Kwani mafisadi wanaandikwa usoni? Au ni wanaume tu? Nashangaa huelewi kitu simpo kama hicho!
 
jf vs/4 Mengi (picha za harusi - sijui kama ilikuwa feki au la)
mzee mwanakijiji 4 mengi
 
Hapa kijijini kuna watu wengi wanatoa hasira zao bila kutafakari.Kwa mtizamo wa watu wengi ambao upeo wao wa kuona sio mbali zaidi ya pua zao wanafanya mzaha na vita vya Kibiashara iliyopo kati ya Wahindi/Waarabu wanaofanya biashara na IPP inayomilikiwa kwa asilimia kubwa na familia ya Reginald Mengi . Kabla sijawapatia data nilizo nazo nawaagiza wote akiwepo MzeeMwanakijiji kuanzia leo mtembelee mahoteli yote yanayomilikiwa na akina Subash Patel,Ladwa na yote makubwa ambayo yako chini ya uongozi wa menejimenti za waasia kama mkikuta bidhaa za IPP group zinauzwa huko. Ni nadra sana na hii ipo hata kwenye migahawa mingi. Watakuambia hatuuzi Cocacola kwa sababu za kidini. Kwa vile fomula ya Coke ni ya kimarekani hata huko Uarabuni haziuzwi eti ni solidarity ya kupinga Mmarekani na nimeyaona kwa macho yangu nilipotembelea mashariki ya kati hivi karibuni. Tatizo ni kwamba hawakutaka mtu mweusi amiliki himaya ya viwanda na MEDIA ya ukubwa wa IPP. Serikali ya CCM hilo wanalijua lakini hawataki kulizungumza hadharani. Hasa awamu ya fisadi Mkapa hilo lilinguruma na yeye alitoa macho na kuona sawa. Kwa sababu CCM wamejaa MAFISADI kwa hiyo mpambano umekuwa mkali hata makakati wa kununua Habari Corporation ni moja ya njama za kummaliza Mengi. Kutokana na msimamo Imara alio nao dhidi ya mafisadi anaadhibiwa. Bahati mbaya hakuna kabila la Wachaga ni bahati iliyoje, Mungu aliangusha Mnara wa Babeli kwenye maporomoko ya Mlima kilimanjaro kwa hiyo tuna bahati wao wenyewe kwa weneyewe hawaelewani hata lugha! Inatakiwa ubaguzi huu wa kibiashara ukomeshwe vinginevyo sitashangaa watu kukataa kununua maji ya Uhai na mikate ya Azam kwa vile tu mmliki wake ni Mwislamu.Kuna huyu jamaa kasema anazima TV HUKO ni kujinyonga punguza hasira nadhani ukipewa baruti hukawii kujilipua! CCM huko mnakotupeleka sio kuzuri. WANAKIJIJI badala ya kuorodhersha idadi ya watu waliokwisha kuingia kwenye mgongano wa kimaslahi na IPP {sipendi kuzungumzia watu} tuliangalie hili kwa mapana yake tusiishie kumjadili mtu hapa.Kuna wazo limetolewa MENGI ashauriwe ajitolee kutoa muda hewani bure kuendesha mijadala ya wazi kwenye ITV na sisi tuchangie pamoja na kwezesha kila Kata iwe na UMEME/TV watu waweze kushiriki huo mjadala. Vinginevyo tutabakia na maoni yale yale ya watoto wa mjini tu. Tuache porojo na ushabiki usiokuwa na mwelekeo.
 
Gembe, binafsi sijawahi kumuona Mengi anamfanyia fitina mlalahoi. Vita vyake au ugonvi wake wote ni kati yake na mafisadi. Hata ugomnvi wake na the comedy ulisababishwa na ugonvi wake na Manji, period. Na kwa kifupi tu ni kwamba ugonvi kati ya Mengi na Makaburu wa kitanzania utakoma pale tu mafisadi watakaposhindwa katika vita hivi kati ya mafisadi na walalahoi wa nchi hii! Mwache Mengi awapiganie wanyonge wa nchi hii! [/B]




Wale ze-comedy kwako siyo walalahoi?
Wale wafanyakazi wa ippmedia waliokuwa wanadai malipo yao kwako siyo walalahoi?
 
Kwa kweli hata mimi nashangaa sana!

Nimekuwa nikimuamini sana mzee Mengi katika suala zima la uadilifu. Siwezi kusema moja kwa moja kuwa ni muadirifu kwa sababu sina ushahidi wa mienendo yake, lakini pia sijaona ubaya wala tuhuma dhidi yake za kuonyesha wazi uovu wake.
lakini pia ninachojiuliza ni kuwa mara nyingi katika hizo ligi ulizoziorozesha, ukiondoa ile ya Ze Comedi zote huwa anaibuka kidedea!

Kwa mtazamo wangu, ligi nyingi huwa zinasababishwa na vyombo vyake vya habari. Hivi ndivyo ambavyo huwa vinakuza sana migogoro yake na namshauri asiendekeze sana kutumia vyombo vyake vya habari kumpamba kupita kiasi na kusababisha misuguano ambavyo sio ya lazima.

hata hivyo nampa BIG UP kwa kukemea ufisadi!
 
Well well well
ndugu GEMBE hebu tupatie somo hapo kuhusiana na mpambano uliopo maana inaonesha unataka kusema kitu ila hujapata nafasi.... Tumia uwanja JF kuleta habari ya hii kitu.
Wana Jf kula tano
 
Mengi vita yake kubwa ni Mafisadi na kuna watu wengine personal hawana ugomvi lakini wanatumiwa na hao mafisadi
Ze Comedy ni muendelezo wa beef la Mengi VS Manji
 
For me, i think i might appreciate him more, if he provide one hour on ITV each day for citizens to speak their cases to their leaders from now to the election time! To create something, like community court on TV where leaders of – government and parliamentary- can be on hard talk and hotlines questioned on their leadership or citizen speak of their issues on their constituency!

HII NIMEIPENDA KAMA AKIIKUBALI KWA HAKIKA ANGEKUWA AMEFUNGUA UKURASA MPYAAAA WA DEMOKRASIA YA KUWACHAMBUA WATAWALA WETU ..............
 
[quote=mkereme;404601]Tatizo ni kwamba hawakutaka mtu mweusi amiliki himaya ya viwanda na MEDIA ya ukubwa wa IPP.[/quote]

Wewe nani kakuambia haya? huku ni kutafuta sababu za kuanzisha ubaguzi rangi. Tafuta hoja za maana achana na hizi za watu wasio na upeo mkubwa. Hakuna mtu anayegombana na Mengi sababu ya rangi yake bali inaonesha mzee ni bingwa kutafuta au kununua ugomvi na mara zote kutumia wananchi kama ngao(human shield). Uzoefu pia unaonesha hajui maana ya ushindani wa biashara kwani kila mtu akiingiza katika soko bidhaa zinazoleta ushindani na zake kinachofuata ni bifu. Haya ya ufisadi ni janja ya nyani sema kwetu sisi tunafaidi acha wao wapambane waumbuane wananchi wapate kuwajua viongozi wao.
 


wewe uliyefika hapo unajuaje hata hiyo pesa uliyopewa na baba yako kipindi kile ilipatikana katika mazingira ya kifisadi au la.
Kula nguruwe kwa Muislamu bila kujua sio Dhambi kama utakula nguruwe ukijua basi hiyo ni Dhambi so wewe unajua unakula nguruwe...tukuite nani?
 
HEeeeeeeeeeeeeee Mengi?

Yes, Mengi has contributed his wealth and personal commitment to boost the marginalized individuals' development. I Personally, I witnessed Mr. Mengi provided humanitarian services to vulnerable social groups such as ophanage children, widows, the sick, disabled peole and other alike. Besides that, Mengi has invested in different sectors. His investments based mostly in Dar, Arusha and Moshi. Thus, people who residing in these regions do enjoy fruits delivered from Mengi's investments.

I would like to condemned Mengi for only one thing. I tried to look where Mr. Mengi is pouring his wealth and find that, the northen zone and Coastal zone based regions enjoyed much his wealth. These regions are well of compared to peripheral regions such as Mtwara, Rukwa, Kigoma or Kagera. It will be wise and people will appreciate his patriotic efforts of helping people to overcome poverty if also he will turn to these left behind regions and investing there for assisting or boosting economies of those regions. For instance, Kigoma cultivates michikichi but there is no factory for processing chikichiki oil, so Mengi if is to help this region, could have been built a factory there. The same to Rukwa where maize are decomposed in fields.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom