Kudadadeki
Member
- Oct 7, 2010
- 70
- 3
Last Thursday, kulikuwa na kipindi maalumu kilichorushwa na ITV majira ya saa 3- 4.30 usiku. Walikuwa wanaonyesha "dhifa" ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na Bwana Mengi kwa walemavu pale Diamond Jubilee.
Kituko ni pale Mengi alipokuwa anawa introduce staff wa IPP ambao wange serve chakula. Alisema yeye angeongoza na akachagua meza ambayo ange serve. Then, aliwa introduce Joyce Mhavile na Mshana. Ilipofika zamu ya Deo Rweyunga, akawa introduced na Mengi kwa jina la Theo, na kuwa ni mtangazaji wa vipindi vya michezo (wakati Deo ni Mkurugenzi wa Capital Radio.....).
Sasa, inakuweje Mengi Hamfahamu Director wake ? Alichaguliwa na nani ? Huwa hawakutani kwenye management meetings ?
Am so puzzled.....
Kituko ni pale Mengi alipokuwa anawa introduce staff wa IPP ambao wange serve chakula. Alisema yeye angeongoza na akachagua meza ambayo ange serve. Then, aliwa introduce Joyce Mhavile na Mshana. Ilipofika zamu ya Deo Rweyunga, akawa introduced na Mengi kwa jina la Theo, na kuwa ni mtangazaji wa vipindi vya michezo (wakati Deo ni Mkurugenzi wa Capital Radio.....).
Sasa, inakuweje Mengi Hamfahamu Director wake ? Alichaguliwa na nani ? Huwa hawakutani kwenye management meetings ?
Am so puzzled.....