Hivi vita vya mafisadi inatakiwa kuwe na uangalifu mkubwa, ama itakuwa fisadi ndani ya ma fisadi. Mfumwa kupinga ufisadi, haimaanishi si fisadi. Hivyo kama kuna tatizo atafanya Mengi, tuangalie tatizo, na tusifikie tu uamuzi sababu anapiga vita mafisadi wanamzushia. Jaji Warioba baada ya kuanza kusemwa kuwa naye atafikishwa mahakamani, watu wakasema kuwa sababu alikuwa anawasema mafisadi. Sendeka kampiga mtu ngumi, watu wanasema anasukiwa mbinu sababu yuko katika listi ya wale wanaopinga ufisadi. Sasa wapinga ufisadi wakikosa watu wasiseme?.