Meneja wa uwanja wa michezo Sheikh Amri Abeid asimamishwa kazi

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,917
31,157
Meneja wa uwanja wa michezo mjini Arusha Bwana Ngwabi amesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa ubadhirifu wa mapato ya uwanja huo.Uwanja wa michezo sheikh Amri Abeid ni miongoni mwa viwanja vingi vinavyomilikiwa na chama cha mapinduzi ingawa viwanja vyote vya michezo nchini vilijengwa na wananchi wote enzi za mfumo wa chama kimoja.

Bwana Ngwabi ni mfanyakazi wa muda mrefu sana alianzia kama afisa matangazo.barua ya kumsimamisha kazi imeandikwa na kuasianiwa na katibu wa CCM mkoa wa Arusha Mama Mary Chatanda.
 
Meneja wa uwanja wa michezo mjini Arusha Bwana Ngwabi amesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa ubadhirifu wa mapato ya uwanja huo.Uwanja wa michezo sheikh Amri Abeid ni miongoni mwa viwanja vingi vinavyomilikiwa na chama cha mapinduzi ingawa viwanja vyote vya michezo nchini vilijengwa na wananchi wote enzi za mfumo wa chama kimoja.

Bwana Ngwabi ni mfanyakazi wa muda mrefu sana alianzia kama afisa matangazo.barua ya kumsimamisha kazi imeandikwa na kuasianiwa na katibu wa CCM mkoa wa Arusha Mama Mary Chatanda.
Kwani umesahau kwamba hicho ni chama cha wezi,Afadhali hivyo viwanja virudi serikalini vinaweza kuwa na tija.
 
Meneja wa uwanja wa michezo mjini Arusha Bwana Ngwabi amesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa ubadhirifu wa mapato ya uwanja huo.Uwanja wa michezo sheikh Amri Abeid ni miongoni mwa viwanja vingi vinavyomilikiwa na chama cha mapinduzi ingawa viwanja vyote vya michezo nchini vilijengwa na wananchi wote enzi za mfumo wa chama kimoja.

Bwana Ngwabi ni mfanyakazi wa muda mrefu sana alianzia kama afisa matangazo.barua ya kumsimamisha kazi imeandikwa na kuasianiwa na katibu wa CCM mkoa wa Arusha Mama Mary Chatanda.
Huyu jamaa huwa anakula za mabango leo ndiyo wana mshitukia....hata hivyo Ngongo nifikishie ujumbe huu uwanja wa Sheikh Amri Abeidi ulijengwa na wananchi, wanafunzi wa Ilboru na wachina hivyo uwanja huu siyo wa CCM ni wa wananchi...
 
Back
Top Bottom