Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,917
- 31,157
Meneja wa uwanja wa michezo mjini Arusha Bwana Ngwabi amesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa ubadhirifu wa mapato ya uwanja huo.Uwanja wa michezo sheikh Amri Abeid ni miongoni mwa viwanja vingi vinavyomilikiwa na chama cha mapinduzi ingawa viwanja vyote vya michezo nchini vilijengwa na wananchi wote enzi za mfumo wa chama kimoja.
Bwana Ngwabi ni mfanyakazi wa muda mrefu sana alianzia kama afisa matangazo.barua ya kumsimamisha kazi imeandikwa na kuasianiwa na katibu wa CCM mkoa wa Arusha Mama Mary Chatanda.
Bwana Ngwabi ni mfanyakazi wa muda mrefu sana alianzia kama afisa matangazo.barua ya kumsimamisha kazi imeandikwa na kuasianiwa na katibu wa CCM mkoa wa Arusha Mama Mary Chatanda.