PRECIOUSDOE
Senior Member
- Feb 3, 2009
- 114
- 12
Rafiki yangu mama moja ambaye ameenda retire alipatwa na masaibu baada ya kumpigia one of her former male collegue young enough to be her son akitafuta biashara.Alipoenda yule jamaa jioni home bibi akaona kwenye simu ya yule bwana call kutoka jina na mwanamke.Akaanza kumpigia yule mama simu akikata na kuweka mtoto wake aliye kwa simu.After some time yule bwana akampigia huyu mama akamwabia aongee na bibi yake.Bibi akaanza kumu interogate.Ati yeye ni nani na anamjuaje mume wake.After huyu mama kumweleza that alikuwa akitafuta contract ya kufanya kazi fulani kwa yule bwana bibi akakata simu.
Swali langu ni:kuchunga mume/mke au boyfriend/girlfriend yako by kuangalia sms na calls zake inafanya mtu kuwa faithful kweli? Mimi niliudhika sana especially because huyu mama ni mtu wa rika la mamake yule bwana.Hii ni kumkosea heshima sana.
Swali langu ni:kuchunga mume/mke au boyfriend/girlfriend yako by kuangalia sms na calls zake inafanya mtu kuwa faithful kweli? Mimi niliudhika sana especially because huyu mama ni mtu wa rika la mamake yule bwana.Hii ni kumkosea heshima sana.