stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,832
- 22,940
Acha mambo ya kizamani,watu hawapaki perfume kwakuwa wananuka,wanachohitaji ni kunukia.Tshs 4,500/- tu, nakula kitu cha CHASTITY au ROYALE na siku inaenda!!
Perfume sio issue sana kama mwili haunuki ha ha ha!!