Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,289
Uongo wote kuwa sawa I dont think so...., first of all uongo wowote ambao mwanaume anaweza kudanganya na mwanamke pia anaweza... that is its practically possible..., lakini wakumsingizia mtoto mwenzake hili ni mwanamke pekee ndio anaweza...., now madhara ya kufanya hivyo ni A kwa mwanaume anayedanganywa, B kwa mwanaume aliyenyimwa haki yake, C kwa mtoto mwenyewe kukosa kumjua the really father...., hilo la kumletea mtu ukimwi ni baya sana lakini practically all men and women can do it...
Fafanua kusingizia!!1Kumtamkia ni wako au kuuchuna???