Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Pita Mabibo Hostels kule mzee mzima lazima utaibua kitu....kwi kwi Kwi
Hehehehe wale maduu ngoja nitapita kisha naminya pale Mambo club ndo iwa wanapenda sana kujiachia pale.
Pita Mabibo Hostels kule mzee mzima lazima utaibua kitu....kwi kwi Kwi
Hehehehe wale maduu ngoja nitapita kisha naminya pale Mambo club ndo iwa wanapenda sana kujiachia pale.
'This is very important'.....(Iddi Amin Style, kwa wale mnaokumbuka ile movie ya raid on entebbe)
Sio kweli kugeneralise kuwa men wnafall in love through sex....inategemea mambo mengine mengi tu apart from that...
Pita Mabibo Hostels kule mzee mzima lazima utaibua kitu....kwi kwi Kwi
Mimi sipati picha washikaji wenye wachumba wao ambao wanakaa hizi hostel halafu wao wako mikoani wanajisikia vipi wakisoma hapa. Mimi nafikiri wanasikia kizunguzungu na mipresha kibao. Sasa kama Mimi nina demu pale, Fidel80 na Masanilo wana mademu pale halafu mkumbuke kuwa hawa ni watu ambao wanapenda sana kwenda masjala (tiGO)
Hii kama ingalikuwa kweli wanaume waliopo kwenye ndoa wasinge cheat kabisa maana 'kila siku anapata' na kadri anavyopata kwa mujibu wa hiyo hypothesis ndivyo mapenzi yanavyoongezeka!
Sasa kama Mimi nina demu pale, Fidel80 na Masanilo wana mademu pale halafu mkumbuke kuwa hawa ni watu ambao wanapenda sana kwenda masjala (tiGO)
Kaka unafika pale saa ngapi, nawavizia pale, by the way sio nawavizia ila nina kaki-meo kangu na mimi kakuonyesha uanaume. Mkuu labda tunagonganaga bila kujijua eti eeh?
kazi mnayo, sasa kama wanawapa raha mbona mnawaita majina ya ajabu ajabu hivyo?....we Sipo
ngoma draw sio?
Kaka nashangaa Nyamayao alikuwa anasahau hilo suala