Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
Jamani tumsaidie kijana mwenzetu kwa ushauri na hapo hapo tujifunze, not to play with women's feelings.
Huyu jamaa aliwagonganisha wanawake wawili, wao hawakujuana kwa muda wa miaka3. Jamaa alipoamua kuoa, akamtosa mmoja. Yule alotoswa alimpenda sana jamaa na aliumia sana jamaa alipooa ila alimwambia kuwa iko siku atajuta kumuacha.
Soon baada ya harusi, jamaa alipoteza uwezo wa kufanya mapenzi na mkewe wa ndoa. Huu ni mwezi wa 4 sasa jogoo hawiki! Jamaa amehangaika sana hospitali, kwa waganga wa kienyeji na hata kwenye maombi lakini wapi, bado tatizo liko pale pale. Mkewe hadi sasa yuko nae bega kwa bega katika kutafuta suluhu ya tatizo ila hajui kuwa jamaa alikuwa na mwanamke mwingine.
The guy is desparate, hajui la kufanya. Yeye anahisi yule mdada alomtosa ndo kamsababishia hilo tatizo. Aliniomba nimshauri ila nikaona nije kwenu waungwana mnisaidie ushauri wa kumpa.
NOTE:WANAUME, MSICHEZE NA HISIA ZA WANAWAKE!
Huyu jamaa aliwagonganisha wanawake wawili, wao hawakujuana kwa muda wa miaka3. Jamaa alipoamua kuoa, akamtosa mmoja. Yule alotoswa alimpenda sana jamaa na aliumia sana jamaa alipooa ila alimwambia kuwa iko siku atajuta kumuacha.
Soon baada ya harusi, jamaa alipoteza uwezo wa kufanya mapenzi na mkewe wa ndoa. Huu ni mwezi wa 4 sasa jogoo hawiki! Jamaa amehangaika sana hospitali, kwa waganga wa kienyeji na hata kwenye maombi lakini wapi, bado tatizo liko pale pale. Mkewe hadi sasa yuko nae bega kwa bega katika kutafuta suluhu ya tatizo ila hajui kuwa jamaa alikuwa na mwanamke mwingine.
The guy is desparate, hajui la kufanya. Yeye anahisi yule mdada alomtosa ndo kamsababishia hilo tatizo. Aliniomba nimshauri ila nikaona nije kwenu waungwana mnisaidie ushauri wa kumpa.
NOTE:WANAUME, MSICHEZE NA HISIA ZA WANAWAKE!