Kila mmoja ana eneo lake la ujanja.Mwanzo wa uhusiano, mwanaume anaweza kuwa mjanja zaidi, uhusiano ukikolea, mwanamke anakuwa mjanja kumzidi. Kwenye ndoa, kila mmoja anaweza kuwa mjanja kwa wakati wake kutegemeana na ishu.
Mbu,...aaaaah wapi,
najua VC unapendelea kuwa diplomatic...sema tu ukweli wako.
Nikikugeuzia swali, Nani anatumia uongo zaidi kwenye mahusiano ya Urafiki, Mapenzi na Ndoa utanijibu vipi?
Usitumie 'itifaki' zako ukanijibu hiyo ni 'Generalization',...
we'r talking about 'survival' kwenye maisha haya ya 'kudanganyana'.
Julius, umegusia mtu aki cheat Si ujanja. Nakubaliana nawe 99.9% juu ya hilo, ila ukifikiria sababu nyingine za msingi tu kwanini wengine wana cheat bila kubainika naweza sema ndio uongo/ujanja wenyewe huo ninaouzungumzia hapa.
Mtu kucheat bila kubainika si ujanja. Kwenye akili ya huyo anaye cheat anaweza kuona ni ujanja lakini si ujanja. Ni ukosefu wa uaminifu na ujinga mtupu. Kufanya hivyo kunaonyesha ni jinsi gani usivyo mwaminifu kwa mwenzio na kwako wewe mwenyewe. Unacheat halafu unarudi nyumbani na kumwangalia mwenzako usoni na kumwambia unampenda. Really? Unamdanganya nani sasa hapo?
Pia, kucheat bila kubainika inategemea na mwenzako naye yukoje. Kama yuko gullible inakuwa rahisi zaidi. Akiwa ni mtu wa kukubali kubali tu kila anachomwambia bila kuhoji itakuwa rahisi wewe kucheat. Sasa ukicheat na kupata gonjwa je? Bado utajiona mjanja au utajiona mjinga? Au unacheat halafu unabamwa red handed...Lol...bado utajiona mjanja? I don't think so!!!
Uchunguzi uliofanywa na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeonyesha kuwa katika kipindi cha 2006/2007, kesi 209 zilipokewa na ofisa huyo na kupimwa DNA zilionyesha kuwa kati ya wanaume 98, sawa na asilimia 47 au nusu ya waliofika hapo walisingiziwa kuwa baba
source;http://www.habarileo.co.tz/biasharaFedha/index.php?id=8392
Kila mmoja ana eneo lake la ujanja.Mwanzo wa uhusiano, mwanaume anaweza kuwa mjanja zaidi, uhusiano ukikolea, mwanamke anakuwa mjanja kumzidi. Kwenye ndoa, kila mmoja anaweza kuwa mjanja kwa wakati wake kutegemeana na ishu.
...pamoja na ujanja wote anaoujua mwanaume, Mwanamke ni zaidi linapokuja suala la 'kuzidiana akili'...kwenye maisha ya urafiki, mapenzi na ndoa.
Unakubali au unakataa msemo huu? Kivipi?
Jadili na/au weka kura yako .
You tell us.... you have been singing as we sing along.Sing my Vedic tantra with the matrix of the key to the solution of this problem, all the way back to square one at the very bottom.
Before I go on too long, come to think of it, what is "smart" anyway?
You tell us.... you have been singing as we sing along.
...pamoja na ujanja wote anaoujua mwanaume, Mwanamke ni zaidi linapokuja suala la 'kuzidiana akili'...kwenye maisha ya urafiki, mapenzi na ndoa.
Unakubali au unakataa msemo huu? Kivipi?
Jadili na/au weka kura yako .
Kwa misingi ipi mkuu? Tupe facts & figures mkuu wangu la sivyo zitajaa opinions tu humu.
Kwa misingi ipi mkuu? Tupe facts & figures mkuu wangu la sivyo zitajaa opinions tu humu.