blackdog Member Jan 9, 2011 89 8 May 21, 2011 #1 Niliitoa memery card ya camera yangu, kwa bahati mbaya picha zote zimefutika. Kuna njia gani ya kuzirudisha .au
Niliitoa memery card ya camera yangu, kwa bahati mbaya picha zote zimefutika. Kuna njia gani ya kuzirudisha .au
Kaa la Moto JF-Expert Member Apr 24, 2008 7,903 1,053 May 21, 2011 #2 Tafuta software za recovery. Ziko nyingi sana zitatatua shida yako ili mradi usiitumie hadi huwe umemaliza ku recover. Otherwise utapoteza kila kitu.
Tafuta software za recovery. Ziko nyingi sana zitatatua shida yako ili mradi usiitumie hadi huwe umemaliza ku recover. Otherwise utapoteza kila kitu.
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,125 16,189 May 21, 2011 #3 Data Recovery Software to Undelete Files; Disk recovery; Recover Deleted Files
blackdog Member Jan 9, 2011 89 8 May 21, 2011 Thread starter #4 Ndugu nipo kijijini sana si mjini,nashindwa kwenda kutafuta hivi karibuni kwani ninashughuli nazifanya ,akuna link ya kuniokoa?
Ndugu nipo kijijini sana si mjini,nashindwa kwenda kutafuta hivi karibuni kwani ninashughuli nazifanya ,akuna link ya kuniokoa?