sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
King'asti huyo hahahahah!!!!!mie pia alinambia hakujua kumbe wewe ni mbabu hivyo lol.....upunguze sasa kunaniliyu manake utajafia kwenye vifua vya mabinti za watu tehe tehe.......Shikamoo Bishanga!Kuna mmoja humu jf nilipokutana naye uso bin uso,dah....kumbe ni receptionist wa hoteli ambayo huwa nina mazoea ya kwenda kuniniliyu....we acha tu.
Last edited by a moderator: