Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
karibu nyegezi mgeni
Nyegezi kona...aje akutane na totoz za chuo...lol
karibu nyegezi mgeni
ha ha ha, ujue tayari nina mme
afu sijui kanitia limbwata siku hizi?
Nimeanza kumpenda kwa kasi kweli, kama limbwata ni tamu hivi bora aliongeze aisee ili niwe zezeta wa mapenzi zaidi lol
Dah kijana umenikumbusha mapanga shaaaaa
Ukiwa unarudi Mwanza ulifika njia panda ya Tarime naomba unichukulie ndizi na karanga za kuchemsha...sawa mume wa Husninyo...
Nyegezi kona...aje akutane na totoz za chuo...lol
Umepata!
Mleta mada mbona umepotea uzini ?