Ndugu Membe nimetokea ubalozini muda huu kutafuta huduma basi sijakuta mkubwa yeyote wako wadogo tu pale ndani ambao hata majibu ya maswali yangu hawakuwa nayo na nimeondoka bila ya kuhudumiwa .Wote wana tetemeka hawana heating system katika jengo wiki nzima hii .Inasemekana wanaweza kufunga Ubalozi next kwa siku zile za kazi kisa baridi ndani ya jengo .Je ni pesa hakuna ? Au kubomoka kwa system hakuwezi kutengenezwa kwa uharaka kwa maana ya kujali afya za watu na hii ni winter ?Mkulo alikuwa hapa kaondoka jana toka kwenye kikao cha Mawaziri hajakueleza ama aliishia hotelini bila ya kufika ubalozini ?
Hiyo ndiyo habari hapa ubalozini .
Hiyo ndiyo habari hapa ubalozini .