Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe kuweka utaratibu mbaya wa kutoleta viongozi wa kimataifa zanzibr tunafahamu ana ajenda ya siri na akuanza leo ameanza siku nyingi mifano ipo hai akiwa ofisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania Itali aliwahi kukataa kukutana na wanafunzi wa kizanzibar waliokuwa wakisoma Italy kwa madai kuwa yeye sio mzanzibar na mambo ya Zanzibar hayamhusu.
Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanzibar
Kukusaidia tu huwa hawatembei kama viongozi wa kitanzania ziara huendena na agenda na sababu za kuishia bara labda kwa sababu mambo muhumu yote wanayotaka fuatilia au viongozi muhimu wapo mainland.
Na viongozi safari zao upangwa mapema na uthibitisho wa njia unakuwa lazima upitiwe na usalama wao. Sidhani kama Membe anajeuri ya kuwapangia waende wapi ni wao wanajiamulia kwa kutaka wapelekwe au wakutane na people who matter.