ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Inadaiwa kuwa mbali na kutetea maslahi ya Taifa kama Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Membe ana maslahi binafsi kule mwambao mwa ziwa Nyasa. Inadaiwa Mhe. Membe ameoa katika kijiji cha karibu na mji wa Mbambabay na pia anamiliki hoteli ya Kitalii ambayo ni miongni mwa hoteli zenye hadhi katika mji mdogo wa Mbambabay ambao upo Wi;laya mpya ya Nyasa ukiondoa hoteli nyingine na Mhe. John Komba na ile ya Shirika la Masista wa St. Agnes African Sisters la watawa la Chipole _ Songea (St. Benadeta Hotel).
St. BERNADETA HOTEL
St. BERNADETA HOTEL