mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
[h=3]Namna hii si atachemsha hata kabla ya kipute chenyewe kuanza?[/h]
Baada ya waziri wa mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuzindua tamasha la Pasaka sasa naona imeanza kulipa. Anapewe coverage kubwa tena ukurasa wa mbele. Je hii kampeni ya 'sizitaki mbichi hizi' kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015 itamsaidia au kumzamisha? Kwanini asiseme wazi kama Samuel Sitta kuwa urais anautaka? Kuna haja ya wanasiasa wetu kuwa wawazi badala ya kujirusha rusha kimanga. Hongera Alex Msama kumfagilia comrade wako mpya Ben Membe.
Baada ya waziri wa mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuzindua tamasha la Pasaka sasa naona imeanza kulipa. Anapewe coverage kubwa tena ukurasa wa mbele. Je hii kampeni ya 'sizitaki mbichi hizi' kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015 itamsaidia au kumzamisha? Kwanini asiseme wazi kama Samuel Sitta kuwa urais anautaka? Kuna haja ya wanasiasa wetu kuwa wawazi badala ya kujirusha rusha kimanga. Hongera Alex Msama kumfagilia comrade wako mpya Ben Membe.