Membe: Malawi haiwezi kuishtaki Tanzania ICJ, Tanzania haiitambui ICJ

Membe anaongea sana! Sasa hivi wamalawa washatuona irelevant country kama alaivyosema premier wa israel.
Nadhani wana uhakika wa wanachotaka kukifanya na wana backup ya kutosha!

Wakati sie ndiyo kwanza tumeunda timu ya wataalam kufanya "documentation" kwa sababu sisi Tanzania hatukuwa na documentation ya mgogoro wa ziwa Nyasa.
 
Stupid Malawians let just bombard Lilongwe then they will come to their sense.

And you think its that simple! Hela ya kulipa mishahara hamna unazungumzia vita! Masilaha yenyewe mliyonayo yameexpire yanalipuka yenyewe ndo unataka kuingia kwenye vita na nchi ambayo inakuwa backed up na EU? U are out of your mind!
 
Nachanganyikiwa kidogo mkuu masopakyindi hivi ICC na ICJ kuna uhusiano wowote kati ya hivi vitu? Maana kuna mdau mmoja hapo juu amesema Jaji Chande alikuwa anagombea nafasi ya Ocampo huko ICC na akasema huu ni uzushi kusema Tanzania siyo mwanachama wa ICJ! Hebu niondoe tongotongo mkuu wangu hizi mahakama zinauhusiano wowote?

ICC iko chini ya ICJ yaani hapo ICC imeanzishwa kama court ndogo chini ya ICJ. Tanzania ni member wa ICJ kwasababu nchi zote za UN ni automatically members wa ICJ.

Ila Tanzania haijatoa tamko kutambua maamuzi ya ICJ. Hivyo uamuzi wa ICJ unaweza kukubalika kama tu TZ ndio itashitaki au itakubali kabla ya case kwamba itatambua maamuzi ya ICJ.

Alichosema Membe ni sahihi.
 
Wakati sie ndiyo kwanza tumeunda timu ya wataalam kufanya “documentation” kwa sababu sisi Tanzania hatukuwa na documentation ya mgogoro wa ziwa Nyasa.

Mkuu EMT mama wa malawi katumwa yule unadhan anakurupuka! Wazungu washamjaza upepo wa kutosha. Ngoja mtaona vindege visivyo na ruban ndo mtashangaa na roho zenu! Si juzi tu alikuwa mpole ona sasa hivi alivyokuwa mkali kama nyuki.
 
ICC iko chini ya ICJ yaani hapo ICC imeanzishwa kama court ndogo chini ya ICJ. Tanzania ni member wa ICJ kwasababu nchi zote za UN ni automatically members wa ICJ.

Ila Tanzania haijatoa tamko kutambua maamuzi ya ICJ. Hivyo uamuzi wa ICJ unaweza kukubalika kama tu TZ ndio itashitaki au itakubali kabla ya case kwamba itatambua maamuzi ya ICJ.

Alichosema Membe ni sahihi.



Nimekupata vizuri mkuu!Kumbe bwana Membe yuko sahihi kwa mantiki hiyo!
 
Nachanganyikiwa kidogo mkuu masopakyindi hivi ICC na ICJ kuna uhusiano wowote kati ya hivi vitu? Maana kuna mdau mmoja hapo juu amesema Jaji Chande alikuwa anagombea nafasi ya Ocampo huko ICC na akasema huu ni uzushi kusema Tanzania siyo mwanachama wa ICJ! Hebu niondoe tongotongo mkuu wangu hizi mahakama zinauhusiano wowote?


"The International Criminal Court (ICC), governed by the Rome Statute, is the first permanent, treaty based, international criminal court established to help end impunity for the perpetrators of the most serious crimes of concern to the international community.
The ICC is an independent international organisation, and is not part of the United Nations system. Its seat is at The Hague in the Netherlands. Although the Court's expenses are funded primarily by States Parties, it also receives voluntary contributions from governments, international organisations, individuals, corporations and other entities."

source: ICC ,The Hague


Mkuu Itegamatwi , nakiri kukosea , ICJ nayo iko The Hague , lakini iko chini ya the UN SYSTEM ya New York.
hata hivyo ni lazima nchi kuratify chartes ya ICJ ili mtu uwe member wa hiyo Court.
Alichogombea Chande ni kiti katika ICC.



"International Court of Justice

From Wikipedia, the free encyclopedia


"ICJ" redirects here. For the commission, see International Commission of Jurists.
"World Court" redirects here. For other uses, see World Court (disambiguation).
Not to be confused with the International Criminal Court.
International Court of Justice
Cour internationale de justice
Established1945
JurisdictionWorldwide, 193 State Parties
LocationThe Hague, the Netherlands
Coordinates
17px-WMA_button2b.png
52°05′11.76″N4°17′43.80″E
Authorized byUN Charter
ICJ Statute
Judge term length9 years
Number of positions15
Websitewww.icj-cij.org
President
CurrentlyPeter Tomka[SUP][1][/SUP]
Since6 February 2012
Lead position ends5 February 2015
Vice President
CurrentlyBernardo Sepúlveda-Amor[SUP][1][/SUP]
Since6 February 2012
Position ends5 February 2015

Peace Palace, seat of the ICJ

The International Court of Justice (French: Cour internationale de Justice; commonly referred to as the World Court or ICJ) is the primary judicial organ of the United Nations. It is based in the Peace Palace in The Hague, the Netherlands. Its main functions are to settle legal disputes submitted to it by states and to provide advisory opinions on legal questions submitted to it by duly authorized international organs, agencies, and the UN General Assembly.

Source: Wikipedia
 
watanganyika ni wezi na majambazi tu hakuna uthibisho wowote wa ziwa nyasa kuwa sehemu ya tanganyika na ndio maana hawataki kwenda mahakamani wamezoea kujidai kusuluhisha kutatua kero kama wafanyavo kwenye muungano huu feki wakati kidhati hawana nia hiyo.
kiutaratibu hakuna nchi yoyote ambayo mpaka wake uligaiwa kupitia ziwa nalo likagaiwa,ziwa nyasa ni la wanyasa land (wamalawi) madhalim wanataka kupitisha udhalimu wao tu.
pia kusema kuwa tanganyika ni mjumbe tu ila hawajatanbua mahakama ya ICJ ana maanisha nini? tanganyika ni mjumbe tu kufanya nini? wanaogopa kwenda mahakani sababu hawana uthibitisho wa kushinda kesi, pia anasema kuwa wameunda tume kutafuta nyaraka sasa si wanasema wanauthibitisho wa ziwa kuwa na sehemu tanganyika sasa izo nyaraka wanazitafuta wapi? na za nini?
tatu nijuavyo mimi mahakama ya ICJ inakuwa na competency ya kusikiliza kesi ikiwa mmoja kati ya walalamikaji ni signatory wa mahakama hiyo hivyo ikiwa malawi ni mwanachama uwezekano wa kusikiliza kesi ICJ upo, membe anaogopa ameona ngoma inaelekea kubaya.
NA INSHAALAH WATASHINDWA TU WATANGANYIKA WARUDI KWAO WAFE NA DHULMA ZAO.
INSHAALAH, INSHAALAH, INSHAALAH
 
ICC iko chini ya ICJ yaani hapo ICC imeanzishwa kama court ndogo chini ya ICJ.

Mkuu acha kupotosha. ICC haiko chini ya ICJ. Wala ICC sio mahakama ndogo ya ICJ.


Nimekupata vizuri mkuu!Kumbe bwana Membe yuko sahihi kwa mantiki hiyo!

Kakupotosha huyo.

Most of the time, people get confused with these two courts as how they differ. They are almost the same in most cases but the only difference is their jurisdiction. Both courts are located in The Hague, Netherlands. People must know the difference of these courts for easier understanding and avoid confusion. Here are some helpful definitions to make us better understood how does these two courts differ from one another.

In brief:

1. ICC and ICJ are both tribunal courts that accommodate criminal investigations and proceedings.
2. ICC and ICJ courts are both located in The Hague, Netherlands.
3. International Court of Justice (ICJ) or the World Court is the primary judicial organ of the UN which settles legal disputes submitted by states while ICC is legally and functionally independent from the United Nations (UN).
4. If the country you belong is part of the UN you can go directly to ICJ and if you are not go to ICC for further proceedings (hapa ndipo Membe alipojaribu ku-confuse watu).
5. International Criminal Court (ICC) is called to be a permanent tribunal to prosecute individuals for genocide, crimes against humanity, war crimes and the crime of aggression while ICJ settles legal disputes submitted by states and ICJ also gives advisory and opinions on legal questions forwarded by duly authorized international organs, agencies and the UN General Assembly.

Read more: Difference Between ICC and ICJ | Difference Between
 
Mkuu acha kupotosha. ICC haiko chini ya ICJ. Wala ICC sio mahakama ndogo ya ICJ.




Kakupotosha huyo.

Most of the time, people get confused with these two courts as how they differ. They are almost the same in most cases but the only difference is their jurisdiction. Both courts are located in The Hague, Netherlands. People must know the difference of these courts for easier understanding and avoid confusion. Here are some helpful definitions to make us better understood how does these two courts differ from one another.

In brief:

1. ICC and ICJ are both tribunal courts that accommodate criminal investigations and proceedings.
2. ICC and ICJ courts are both located in The Hague, Netherlands.
3. International Court of Justice (ICJ) or the World Court is the primary judicial organ of the UN which settles legal disputes submitted by states while ICC is legally and functionally independent from the United Nations (UN).
4. If the country you belong is part of the UN you can go directly to ICJ and if you are not go to ICC for further proceedings (hapa ndipo Membe alipojaribu ku-confuse watu).
5. International Criminal Court (ICC) is called to be a permanent tribunal to prosecute individuals for genocide, crimes against humanity, war crimes and the crime of aggression while ICJ settles legal disputes submitted by states and ICJ also gives advisory and opinions on legal questions forwarded by duly authorized international organs, agencies and the UN General Assembly.

Read more: Difference Between ICC and ICJ | Difference Between



Totally confused! So what can you say about Membe's statement Mkuu?
 
Mkuu acha kupotosha. ICC haiko chini ya ICJ. Wala ICC sio mahakama ndogo ya ICJ.




Kakupotosha huyo.

Most of the time, people get confused with these two courts as how they differ. They are almost the same in most cases but the only difference is their jurisdiction. Both courts are located in The Hague, Netherlands. People must know the difference of these courts for easier understanding and avoid confusion. Here are some helpful definitions to make us better understood how does these two courts differ from one another.

In brief:

1. ICC and ICJ are both tribunal courts that accommodate criminal investigations and proceedings.
2. ICC and ICJ courts are both located in The Hague, Netherlands.
3. International Court of Justice (ICJ) or the World Court is the primary judicial organ of the UN which settles legal disputes submitted by states while ICC is legally and functionally independent from the United Nations (UN).
4. If the country you belong is part of the UN you can go directly to ICJ and if you are not go to ICC for further proceedings (hapa ndipo Membe alipojaribu ku-confuse watu).
5. International Criminal Court (ICC) is called to be a permanent tribunal to prosecute individuals for genocide, crimes against humanity, war crimes and the crime of aggression while ICJ settles legal disputes submitted by states and ICJ also gives advisory and opinions on legal questions forwarded by duly authorized international organs, agencies and the UN General Assembly.

Read more: Difference Between ICC and ICJ | Difference Between
Mkuu EMT,
Sijampotosha mtu. Nilikuwa najaribu kumwelezea in simple language uhusiano wa ICC na ICJ. Ukienda ndani ni kweli kuna tofauti nyingi kati ya mahakama hizo. Ni sawa na mtu kuelezea utofauti wa mahakama kuu ya Tanzania na ile mahakama kuu ya Zanzibar. Binafsi in a simple language nitasema ICJ ndio World courts na hizo zingine zina jurisdiction ndogo kuliko ICJ.

Any way lengo langu likuwa kutafsiri statement ya Membe kitu ambacho ni kweli kama alivyosema kwamba Tanzania ni member lakini haijatoa tamko kukubali maamuzi ya ICJ. Ni member kwasababu nchi zote za UN automatically zinakuwa part ya hii ICJ.

Lakini jurisdiction ina mambo manne ambayo inafuata:
1. Nchi kutoa tamko kutambua maamuzi ya hiyo court.
2. Nchi wahusika kuamua kwenye issue specific kwamba watatambua maamuzi.
3. kwenye mkataba unaoongelewa kuwa na kifungu ambacho kinaonyesha wazi kwamba ICJ atakuwa mwamuzi kwenye ugomvi utakaotokana na mkataba huo.
4. Hii ya nne nimeshindwa kuielewa vizuri.

Membe yuko sahihi na hata lecturer mmoja wa malawi kaelezea hivyo hivyo kwamba Malawi haiwezi kuishitaki Tanzania ICJ bila Tanzania kukubali kwenda huko.
 
Uyu mama vipi mbona ata bahari ya hindi tuna doria
Alafu hawa wamalawi ,mnapotaja zama za kikoloni kama ndo reference mnajizalilisha bse inaonekana you cann not stand on your own unless mumesaidiwa na UK
 
ICJ members.jpg




Source:-http://chartsbin.com/view/1645

Kwa ushahidi huu naona Kauli ya Membe inamashiko sana tu!
 
vita sio kitu cha kufurahia wala kuombea hata kidogo kwan inahasara kwa atakae shinda na atakae shindwa bt kama ikibidi ni zima tupigane kuinda mipaka na heshima ya nchi yetu
 
Tangu serikali ya JK iingie madarakani nadhani hili ndo tamko la maana kuliko yote kuwahi kutolewa
big up to Membe hapo umeongea kama kiongozi shupavu ila sijui kwanini umevunga kuwa sio boti ya kijeshi eti ni ya wizara ya mifugo ungewapa live tu kuwa ni boti ya kijeshi kweli na inalinda mipaka yetu kwani kuna mtu wa kutuamlia nini cha kufanya ndani ya mipaka yetu?

kaka subiri sasa uje usikie kauli ya mwenye nyumba, achelewe kukosoa kama kipindi kile
 
Tumawezaje kuwa mjumbe katika kitu tusichokitambua? Naomba nielimishwe hapa.

Ndugu sijapitia post zote kujuja kama umejibiwa. Ila sheria za kimataifa huwa zinakuwa na hatua kadhaa ili iwezekufanya kazi kwa nchi husika. Mara baada ya maandalizi muhimu kukamilika huwa mkutano wa mataifa huitishwa ili kujadili na kuridhia yaliyomo. Wanaohudhuria mkutano huo huitwa wajumbe. Baada ya hapo kinachofuata huwa inatokana na sheria tarajiwa. Mfano sheria huwa na nguvu kama member state watasign au kuratify. Sasa nadhani Tanzania hatujaridhia ndio mana haina nguvu kwetu
 
Kitu kilichonishtua ni Mh. Membe kusema kuwa hatuna nyaraka za mgogoro wa Ziwa Nyasa. Amesema kuwa katika kulivalia njuga suala hili Tanzania imeunda timu tatu. Alisema timu mojawapo ni ile ya wataalam ambao wanafanya kitu kinachoitwa “documentation” (kufuatilia nyaraka). Mh. Membe alisema kuwa timu hiyo ya wataalam inafanya “documentation” kwa sababu sisi Tanzania hatukuwa na documentation ya mgogoro wa ziwa Nyasa.

Kama alivyosema Mkali Tozz kuna mashaka makubwa kumbe hata hatuna nyaraka za madai yetu? Mh. Membe anapata wapi ubavu wa kutuhakikishia ushindi wa mapema wakati ndiyo kwanza tunatafuta nyaraka za madai yetu? Labda ndiyo maana anapendekeza zaidi mediation maana tukienda mahakamani tutakuwa hatuna nyaraka za kudhibitisha madai yetu?

kinja anadai kuwa “nyaraka ni nyingi hivyo ni lazima kuzipanga kulingana na mashtaka.” Huu mgogoro umekuwepo zaidi ya nusu karne sasa lakini ndiyo kwanza tunaunda timu ya kufanya documentation? Inaonekana huko nyuma hatukutilia maanani kabisa implications za huu mgogoro? Mpaka gas ilipogunduliwa humo ziwani ndiyoo tukashtuka na kuja na excuses za kutokuwa na nyaraka?

Azipa anadai kuwa “Wamalawi nao wanafanya hivyo hivyo.., juzi tu… wamepata vielelezo toka Uingereza.” Kwa vile wao walizubaa kufanya documentation ya madai yao basi inahalalisha uzembe wetu wa kuto-document huu mgogoro wa zaidi ya nusu karne? Kweli “tuipe serikali ushirikiano” kutatua tatizo hili, lakini sio kwa serikali kwenda kupayuka kwenye vyombo vya habari eti hatuna hata documentation ya huu mgogoro huku tukihaidiwa kuwa ushindi wa mapema ni lazima. How wakati hata nyaraka hatuna?

Mkuu, ushindi wa kwanza ni KUCREATE STAND OFF wakati tunajipanga. Membe amesema very categorically kwamba Wamalawi hawana jeuri ya kutupeleka ICJ

Kingine ni kwamba haijawahi tokea nchi moja ikamiliki ziwa, mto au bahari iliyo mpakani.

Sasa wote tunajua nyaraka zinahitajika. Mimi mfano ninazo za kuchangia, moja ni ORDER IN COUNCIL ya 1902 nyingine ni ANNUAL REPORTS ya Muingereza enzi za mkoloni nazo zinaonesha Malawi ipo Magharibi ya Lake Nyasa . Kwahiyo sioni ubaya wa Membe kusema wanakusanya vielelezo
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu, ushindi wa kwanza ni KUCREATE STAND OFF wakati tunajipanga. Membe amesema very categorically kwamba Wamalawi hawana jeuri ya kutupeleka ICJ

Kingine ni kwamba haijawahi tokea nchi moja ikamiliki ziwa, mto au bahari iliyo mpakani.

Sasa wote tunajua nyaraka zinahitajika. Mimi mfano ninazo za kuchangia, moja ni ORDER IN COUNCIL ya 1902 nyingine ni ANNUAL REPORTS ya Muingereza enzi za mkoloni nazo zinaonesha Malawi ipo Magharibi ya Lake Nyasa . Kwahiyo sioni ubaya wa Membe kusema wanakusanya vielelezo


Mkuu wakilisha hizo nondo kwa Membe haraka iwezekanavyo Tunahitaji kuwa one team as a country to win this issue
 
Back
Top Bottom