Membe au Lowassa mmoja ndiye alitakiwa kuwa Rais!!

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,842
Kwanza lazima tuwe wakweli ili uwe Rais wa miaka hii lazima ujiandae sio kwenda kujifunzia kuongoza ikulu hapo lazima utatawala tu.
Kwa maoni yangu baada ya kuchunguza utawala na si uongozi wa awamu ya Tano nimegundua mambo yafuatayo.

1: Aliyetakiwa kupewa nchi ni Membe kwa sababu Membe ni mbobezi katika diplomasia na alikuwa ameshazunguka dunia yote kuitangaza Tanzania.
Alikuwa anajulika Kuanzia marekani mpaka Japan sio tu kwamba angefanikisha urais wake lakini nijuavyo depomasia yake ingesaidia kuipeleka nchi yetu uchumi wa kati.

Membe tabia aliyokuwa nayo ni kama ya Kikwete sizani kama chini ya Membe wanafunzi wengi wangelikosa mkopo kama livyo sasa.
Sizani chini ya Membe kama pesa za watu wa tetemeko zingepigwa panga na kwenda kusikojulikana mpaka sasa

Sizani kama chini ya Membe MCC wangefunga ofisi yao nchini na taifa kukosa 1.6 trions. Sizani kama chini ya Membe kama tungekosa dawa hospitali hata chanjo wakati huo tukajenga uwanja wa ndege mtama ndani ya mwaka wa kwanza wa budget.

2 : Lowassa vile vile ni msomi wa maendeleo na tajiri wa kiwango cha kati sizani kama angekubali ndani ya mwaka wake wa budget tuweke VAT kwenye utalii na kupoteza watalii na kuua biashara ya utalii nchini ikiwemo kupoteza ajira za watanzania ....

Sizani kama Lowassa angekubali kuzuia watu wasiuze mazao yao nje ya nchi wakati hakuwasaidia kulima na yeye anajua nini maana ya biashara..
Sizani kama lowassa angekubali tuendelee kuilipa IPTL mamilioni ya pesa uku serikali ikiendelea kuipa TANESCO ruzuku.

Sizani kama Lowassa angeshindwa kutufanya tumjue nani mmiliki wa Simbioni ambayo ndio Richmond kwanini ipo mpaka sasa pale ubungo inazalisha umeme?

Bado naamini tulitakiwa kuwa na Rais aliyejiandaa kuongoza watu na kushirikiana na mataifa mbali mbali sio kututawala kimazingira na kifikra.
 
Hapo membe ndio alitufaa..maana ideas nyingi angezitoa kwa jk..wala tusingemmiss jk..pesa ingekuwa nje nje
 
Kwahy kuna mtu kaenda kujifunza kazi aiseee watanzania wenzangu tusiwahi kuchangua kiongozi atakaye piga pushup jukwaani tena ona sasa tunalipia jasho la pushup.
 
Kwanza lazima tuwe wakweli ili uwe Rais wa miaka hii lazima ujiandae sio kwenda kujifunzia kuongoza ikulu hapo lazima utatawala tu.

Kwa maoni yangu baada ya kuchunguza utawala na si uongozi wa awamu ya Tano nimegundua mambo yafuatayo.

1: Aliyetakiwa kupewa nchi ni Membe kwa sababu Membe ni mbobezi katika diplomasia na alikuwa ameshazunguka dunia yote kuitangaza Tanzania.

Alikuwa anajulika Kuanzia marekani mpaka Japan sio tu kwamba angefanikisha urais wake lakini nijuavyo depomasia yake ingesaidia kuipeleka nchi yetu uchumi wa kati.

Membe tabia aliyokuwa nayo ni kama ya Kikwete sizani kama chini ya membe wanafunzi wengi wangelikosa mkopo kama livyo sasa.

Sizani chini ya membe kama pesa za watu wa tetemeko zingepigwa panga na kwenda kusikojulikana mpaka sasa

Sizani kama chini ya membe MCC wangefunga ofisi yao nchini na taifa kukosa 1.6 trions.

Sizani kama chini ya membe kama tungekosa dawa hospitali hata chanjo wakati huo tukajenga uwanja wa ndege mtama ndani ya mwaka wa kwanza wa budget.

2 : Lowassa vile vile ni msomi wa maendeleo na tajiri wa kiwango cha kati sizani kama angekubali ndani ya mwaka wake wa budget tuweke VAT kwenye utalii na kupoteza watalii na kuua biashara ya utalii nchini ikiwemo kupoteza ajira za watanzania ....

Sizani kama Lowassa angekubali kuzuia watu wasiuze mazao yao nje ya nchi wakati hakuwasaidia kulima na yeye anajua nini maana ya biashara..

Sizani kama lowassa angekubali tuendelee kuilipa IPTL mamilioni ya pesa uku serikali ikiendelea kuipa Tanesco ruzuku.

Sizani kama Lowassa angeshindwa kutufanya tumjue nani mmiliki wa Simbioni ambayo ndio Richmond kwanini ipo mpaka sasa pale ubungo inazalisha umeme?

Bado naamini tulitakiwa kuwa na Rais aliyejiandaa kuongoza watu na kushirikiana na mataifa mbali mbali sio kututawala kimazingira na kifikra.

Acha uchochezi! na kumbuka imeandikwa "Usimjaribu bwana mungu wako"
 
Tatizo Lowassa asingewashughulikia mafisadi waliomchangia kununua uongozi.
Kwani mpaka sasa umeona Fisadi yeyote anaghughulikiwa!!? Mahakama zinakusanya vumbi tu ............!!

Hata Nyerere hakuwahi kuwashughulikia mafisadi ... tatizo ni kama ufisadi ungeongezeka kama Lowasa angechukua nchi!!
 
Kwanza lazima tuwe wakweli ili uwe Rais wa miaka hii lazima ujiandae sio kwenda kujifunzia kuongoza ikulu hapo lazima utatawala tu.

Kwa maoni yangu baada ya kuchunguza utawala na si uongozi wa awamu ya Tano nimegundua mambo yafuatayo.

1: Aliyetakiwa kupewa nchi ni Membe kwa sababu Membe ni mbobezi katika diplomasia na alikuwa ameshazunguka dunia yote kuitangaza Tanzania.

Alikuwa anajulika Kuanzia marekani mpaka Japan sio tu kwamba angefanikisha urais wake lakini nijuavyo depomasia yake ingesaidia kuipeleka nchi yetu uchumi wa kati.

Membe tabia aliyokuwa nayo ni kama ya Kikwete sizani kama chini ya membe wanafunzi wengi wangelikosa mkopo kama livyo sasa.

Sizani chini ya membe kama pesa za watu wa tetemeko zingepigwa panga na kwenda kusikojulikana mpaka sasa

Sizani kama chini ya membe MCC wangefunga ofisi yao nchini na taifa kukosa 1.6 trions.

Sizani kama chini ya membe kama tungekosa dawa hospitali hata chanjo wakati huo tukajenga uwanja wa ndege mtama ndani ya mwaka wa kwanza wa budget.

2 : Lowassa vile vile ni msomi wa maendeleo na tajiri wa kiwango cha kati sizani kama angekubali ndani ya mwaka wake wa budget tuweke VAT kwenye utalii na kupoteza watalii na kuua biashara ya utalii nchini ikiwemo kupoteza ajira za watanzania ....

Sizani kama Lowassa angekubali kuzuia watu wasiuze mazao yao nje ya nchi wakati hakuwasaidia kulima na yeye anajua nini maana ya biashara..

Sizani kama lowassa angekubali tuendelee kuilipa IPTL mamilioni ya pesa uku serikali ikiendelea kuipa Tanesco ruzuku.

Sizani kama Lowassa angeshindwa kutufanya tumjue nani mmiliki wa Simbioni ambayo ndio Richmond kwanini ipo mpaka sasa pale ubungo inazalisha umeme?

Bado naamini tulitakiwa kuwa na Rais aliyejiandaa kuongoza watu na kushirikiana na mataifa mbali mbali sio kututawala kimazingira na kifikra.


Umeshasema alitakiwa awe sasa haijawa hivyo haitusadii, na nikupoteza muda kujadili jambo ambalo halijatokea hivyo ni bora kama tungewekeza kwa kinachokuja!
 
Kwanza lazima tuwe wakweli ili uwe Rais wa miaka hii lazima ujiandae sio kwenda kujifunzia kuongoza ikulu hapo lazima utatawala tu.

Kwa maoni yangu baada ya kuchunguza utawala na si uongozi wa awamu ya Tano nimegundua mambo yafuatayo.

1: Aliyetakiwa kupewa nchi ni Membe kwa sababu Membe ni mbobezi katika diplomasia na alikuwa ameshazunguka dunia yote kuitangaza Tanzania.

Alikuwa anajulika Kuanzia marekani mpaka Japan sio tu kwamba angefanikisha urais wake lakini nijuavyo depomasia yake ingesaidia kuipeleka nchi yetu uchumi wa kati.

Membe tabia aliyokuwa nayo ni kama ya Kikwete sizani kama chini ya membe wanafunzi wengi wangelikosa mkopo kama livyo sasa.

Sizani chini ya membe kama pesa za watu wa tetemeko zingepigwa panga na kwenda kusikojulikana mpaka sasa

Sizani kama chini ya membe MCC wangefunga ofisi yao nchini na taifa kukosa 1.6 trions.

Sizani kama chini ya membe kama tungekosa dawa hospitali hata chanjo wakati huo tukajenga uwanja wa ndege mtama ndani ya mwaka wa kwanza wa budget.

2 : Lowassa vile vile ni msomi wa maendeleo na tajiri wa kiwango cha kati sizani kama angekubali ndani ya mwaka wake wa budget tuweke VAT kwenye utalii na kupoteza watalii na kuua biashara ya utalii nchini ikiwemo kupoteza ajira za watanzania ....

Sizani kama Lowassa angekubali kuzuia watu wasiuze mazao yao nje ya nchi wakati hakuwasaidia kulima na yeye anajua nini maana ya biashara..

Sizani kama lowassa angekubali tuendelee kuilipa IPTL mamilioni ya pesa uku serikali ikiendelea kuipa Tanesco ruzuku.

Sizani kama Lowassa angeshindwa kutufanya tumjue nani mmiliki wa Simbioni ambayo ndio Richmond kwanini ipo mpaka sasa pale ubungo inazalisha umeme?

Bado naamini tulitakiwa kuwa na Rais aliyejiandaa kuongoza watu na kushirikiana na mataifa mbali mbali sio kututawala kimazingira na kifikra.


Ha ha wewe hauna hata haja ya kujibiwa. Huoni wala huelewi. Tunamshukuru Mwenyezi MUNGU kutuepusha NA HAWO WATU wawili, Membe na LOWASSA. Kama kutembea kila kona ya dunia kunaleta maendeleo kwenye nchi, hakuna Rais na Waziri wake wa mambo ya nje waliosafiri kama Kikwete na Membe. Kama dipolomasia na safari zinaleta maendeleo, basi Tanzania leo ingeishinda China kwa maendeleo, badala yake wameitafuna nchi wameiacha mifupa mitupu. Ulichoandika hapa ni utumbo mtupu wa kijinga. Ni nguvu za Mwenyezi Mungu kumpata Rais Magufuli.
 
Ha ha wewe hauna hata haja ya kujibiwa. Huoni wala huelewi. Tunamshukuru Mwenyezi MUNGU kutuepusha NA HAWO WATU wawili, Membe na LOWASSA. Kama kutembea kila kona ya dunia kunaleta maendeleo kwenye nchi, hakuna Rais na Waziri wake wa mambo ya nje waliosafiri kama Kikwete na Membe. Kama dipolomasia na safari zinaleta maendeleo, basi Tanzania leo ingeishinda China kwa maendeleo, badala yake wameitafuna nchi wameiacha mifupa mitupu. Ulichoandika hapa ni utumbo mtupu wa kijinga.
Sawa wacha tuone na kujifungia ndani kama kutaleta maendeleo...

Umejifungia ndani ...

Ukusanyi kodi...

Unalialia tu wala hakuna kinachoendelea alafu anategemea maendeleo?
 
Sawa wacha tuone na kujifungia ndani kama kutaleta maendeleo...

Umejifungia ndani ...

Ukusanyi kodi...

Unalialia tu wala hakuna kinachoendelea alafu anategemea maendeleo?

Kukusanya kodi ni kitu kimojawapo kikubwa kwa nchi yeyote kuleta maendeleo. Ukikwepa kodi China ni kifo, Marekani ama Uingereza ni kifungo cha muda mrefu. Tanzania inaendelea pengine hauna macho. Sio lazima asafiri, Tanzania ina mabalozi na WATU wengi waweza kuwakilisha. Tulikuwa na Rais bwana msafiri maendeleo hatukuyaona, hakuna ushahidi wa kuunga mkono uliyoyandika. Tuwache siasa za kitoto tumuunge mkono RAIS MAGUFULI, Tanzania si yake pekee, ni ya WATANZANIA wote.
 
Waliomuweka Ikulu sio LOWASSA ama Membe ni nguvu za Mungu na Watanzania na sio mafisadi. Nchi hii siyo watu wachache ni ya WATANZANIA WOTE.
Haaah eti mungu Siku hizi mungu anafanya mambo ya kishetani kama haya...

Mungu ana deals na kanisa na misikiti sio unafiki mwingine
 
Kukusanya kodi ni kitu kimojawapo kikubwa kwa nchi yeyote kuleta maendeleo. Ukikwepa kodi China ni kifo, Marekani ama Uingereza ni kifungo cha muda mrefu. Tanzania inaendelea pengine hauna macho. Sio lazima asafiri, Tanzania ina mabalozi na WATU wengi waweza kuwakilisha. Tulikuwa na Rais bwana msafiri maendeleo hatukuyaona, hakuna ushahidi wa kuunga mkono uliyoyandika. Tuwache siasa za kitoto tumuunge mkono RAIS MAGUFULI, Tanzania si yake pekee, ni ya WATANZANIA wote.
Siwezi kumuunga mkono mtu anayekwapua pesa za maafa ...

Siwezi kumuunga mkuono mtu anayetukana na kuwazalilisha wenzake...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom