Tina
JF-Expert Member
- Jul 9, 2007
- 572
- 579
Membe jana ametembelea mpaka wa Tanzania na Malawi eneo la Kasumulu na kupata maelezo ya wazee waliozaliwa maeneo ya ziwa hilo wakiwamo waliozaliwa katika eneo ambalo sasa limeshamezwa na maji.
Baadhi ya wazee wamesema maeneo walimokuwa wakiishi na walikozikwa wazee wao, sasa limefunikwa na maji.
Taarifa zaidi kuwajia.
Baadhi ya wazee wamesema maeneo walimokuwa wakiishi na walikozikwa wazee wao, sasa limefunikwa na maji.
Taarifa zaidi kuwajia.