Nimemsikiliza Waziri Membe akihojiwa ITV na katika mahojiano hayo nimesikia maneno niliyoyasikia kwa waziri wa Mambo ya Nje wa Misri baada ya mapinduzi ya Tunisia. Akijibu hoja ya Katibu Mkuu wa umoja wa nchi za Kiarabu Amr Mussa kuwataadhalisha kuwa kilichotoka Tunisia kinaweza kutokea katika nchi zao.
Wazari huyo alisema hivi "Yanayotokea Tunisia hayawezi kutokea Misri kwa sababu serikali yao ilikuwa tofauti na ya Tunisia"! Na Membe amesema yaliyotokea katika nchi za kiarabu hayawezi kutokea katika nchi yetu kwasababu hata nchi nyingine (UN, AU na jumuia nyingine) hazitaruhusu ukiukwaji wa demokrasia!!!!.
Uenda hatukujifunza kutoka kwa wenzetu. Iili tuwe salama ni kutatua matatizo yaliyoleteleza maandamano katika nchi nyingine na si kukaa tukidhania sie hatuwezi kufikwa na yaliyotokea kwingine.
Wazari huyo alisema hivi "Yanayotokea Tunisia hayawezi kutokea Misri kwa sababu serikali yao ilikuwa tofauti na ya Tunisia"! Na Membe amesema yaliyotokea katika nchi za kiarabu hayawezi kutokea katika nchi yetu kwasababu hata nchi nyingine (UN, AU na jumuia nyingine) hazitaruhusu ukiukwaji wa demokrasia!!!!.
Uenda hatukujifunza kutoka kwa wenzetu. Iili tuwe salama ni kutatua matatizo yaliyoleteleza maandamano katika nchi nyingine na si kukaa tukidhania sie hatuwezi kufikwa na yaliyotokea kwingine.