Mem-awamu ya pili yazinduliwa

Mahesabu

JF-Expert Member
Jan 27, 2008
5,971
3,829
Tarehe 19-januari-2011 RAIS wa JMT mh.dr.J.M K amezindua mpango wa elimu ya sekondari awamu ya pili
Huku mpango wa MES awamu ya kwanza ukionyesha mafanikio mengi kuliko mapungufu awamu ya pili umejikita zaidi katika kukabiliana na mapungufu/changamoto zilizojitokeza katika awamu ya kwanza
Mafanikio katika awamu ya kwanza ni pamoja na IDADI YA WANAFUNZI KUONGEZEKA,IDADI YA SHULE KUONGEZEKA(maarufu kama "shule za kata") (toka shule 800 mwaka 2004 kuwa zaidi ya 3500 sasa),AJIRA KUONGEZEKA(walimu zaidi ya 8,000 wapya)
Baadhi ya changamoto ni kama vile WALIMU KUWA WACHACHE,MAABARA KUTOKUWEPO,NYUMBA ZA WALIMU n.k
MES awamu ya pili imejipanga kuhakikisha inakabiliana na changamoto hizo na zaidi ya hizo huku tayari mipango makini na utekelezaji ikiwa imepamaba moto.
Tayari benki ya dunia na wadau wengine wa elimu wakijitoa kwa hali na mali
TANZANIA NI KATI YA NCHI ZILIZOPIGA HATUA KUBWA KATIKA KUTIMIZA MALENGO YA MILENIA NA TAYARI IMESHAPEWA TUZO KWA KUFANYA VIZURI ilhali sisi wenyewe tunabeza maendeleo yetu...."KWELI NYANI HAONI KUNDULE"
Wenzetu wameona maendeleo na jitihada zetu na kutupongeza sisi tunaona hatujafanya kitu
HONGERA SEKTA YA ELIMU.....JUHUDI ZAIDI ZAHITAJIKA
NI mimi mwalimu MAHESABU
 
USANII MTUPU! Maana sijaona mafanikio yoyote katika hiyo MEM ya awamu ya kwanza zaidi ya elimu kuendelea kudidimia.
 
kweli mafanikio hakuna?.......SHULE KILA KATA......UFAULU WA WANAFUNZI.......MIKOPO 100% KWA WANAOCHUKUA SHAHADA YA ELIMU.......VYUO VIKUU VINAVYOTOA SHAHADA YA ELIMU KUONGEZEKA......
AAAAH....SORRY......kunya anye kuku akinya bata kaharisha...MAENDELEO MPAKA AFANYE KIONGOZI MWENYE UELEKEO WA UPINZANI NDO YAONEKANE.......LEO SERIKALI IMEFANYA INABEZWA
TUIPE SERIKALI BIG UP YAKE KWANZA.....then tutoe dosari........NA HATA HIZO DOSARI MPANGO HUU WA AWAMU YA PILI NDO UTAANZA NAZO
shule kuwa nyingi bila walimu wa kutosha,........maabara...vyoo....nyumba za walimu...vitabu na mengine mengi tu.....
MWATAKA NINI TENA
 
Massive Plan to Boost Education Quality
Frank Kimboy
19 January 2011



The government intends to improve the quality of education offered by public secondary schools during implementation of the second phase of he Secondary Education Development Programme (SEDP II).
President Jakaya Kikwete said this in Dar es Salaam yesterday when officially launching SEDP II, which will be implemented for five years from this year.


In order to ensure that the goal of improving quality is achieved, the government would, through SEDP II train more teachers, increase the capitation grant and ensure that schools are well equipped to enable students to learn effectively.
Other education stakeholders have commended this move, although they have also asked the government to ensure its effective implementation through the timely availability of funds.
The programme will be jointly funded by the World Bank, which has promised a $150 million loan (about Sh217.5 billion). However, the government has not stated the amount it is to provide for implementation of SEDP II.


Mr Kikwete said although reports from the SEDP I indicate that the country has made a milestone in increasing the number of public schools and hence the number of students admission, a lot was still to be done during the implementation of SEDP II to improve quality of education offered in public schools.
"Quite a number of activities, including the quality of education were not fully implemented and are still necessary for the ultimate goal of strategy. There is thus a need to move forward to consolidate the gains of the first phase of SEDP and address the challenges met during the implementation of SEDP I," President Kikwete said.
though he did not give the exact figure, the President said the government will make sure enough money is set aside in each fiscal year to cater for the full implementation of SEDP II, which is to include training more teachers, construction of modern laboratories in secondary schools as well as building houses for teachers.

"It is true that investing in education requires a lot of money but it is also true that the price of having illiterate people is too big compared to the price of investing in the education sector. It is for that reason that we (the government) will continue to put emphasise on the education sector in each budgetary year," he said.


The President also commended the World Bank for agreeing to provide the loan which will be used to renovate 500 schools, to increase the students capitation grant as well as motivate teachers. Tanzania education Network (TenMet) commended the move as positive step towards improving the education sector in the country.
TenMet coordinator, Ms Helima Mengele, who attended the launch of the plan, said the plan is participatory since it provides space for non-governmental stakeholders to take part and make follow up on the implementation.
"It's good that the focus of the plan is also going to be for the quality of education,' she added. But, she cautioned, the Government should really put effort on ensuring that there will be adequate resources in the schools.

Mr Rakesh Rajani, head of Twaweza, a non-governmental organisation advocating good governance, said the effectiveness of the plan depended on its implementation.
  • "With the current shortage in Government revenue, my worry is whether the plan will be fully funded," he said. Having inadequate funds, he added, the capitation grant would not reach the schools in time, which might lead to failure.
Earlier, the minister for Education and Vocational Training, Dr Shukuru Kawambwa told the President that WB has already disbursed $59 million (about Sh85.25 billion) from the loan amount.
To tackle the challenges encountered during SEDP I implementation, Dr Kawambwa said under SEDP II the government plans to train more teachers especially science teachers to curb the problem of a shortage of qualified teachers.
He added that about 1,200 teacher houses, each with capacity to host two families, will be built - especially in rural areas - as well as improving learning infrastructures in rural areas so as to attract teachers to stay in the remote areas.
 
Tatizo hizo hela za kuboresha elimu huwa zinaishia huko juu, mashuleni linafika vumbi tu,
Kuhusu tatizo la walimu kwa kweli sidhani kama litaisha kwa sababu shule zingine ziliko hakufikiki, hebu fikiria kijiji nilichotoka mie kuna sekondari ina mwalimu mmoja tu, maji yenyewe shida, huduma za afya hakuna, usafiri ndo usiseme na umeme ndo usiguse kabisa, hivi unadhani mwalimu mwenye elimu ya diploma au degree atakaaa kweli mahali pa namna hiyo?
Serikali kweli imejitahidi kuongeza idadi ya shule na wanafunzi (quantity), lakini inasikitisha hao wanaomaliza kwenye hizo shule ni nafuu hata darasa la saba la mtu aliyeko Dar,
Amin usiamin kimetokea nyumbani kwangu siku mbili zilizopita ambapo binti wa dada yangu ambaye ni product ya hizo shule hajui hata kutofautisha vipimo vya ujazo. sasa sijui labda itawezekana, Ila ninachokijua bado kuna safari ndefu sana, Kabla serikali haijajenga shule ingeboresha kwanza mazingira ya hizo sehemu ili walimu wavutike.
 
Tatizo hizo hela za kuboresha elimu huwa zinaishia huko juu, mashuleni linafika vumbi tu,
Kuhusu tatizo la walimu kwa kweli sidhani kama litaisha kwa sababu shule zingine ziliko hakufikiki, hebu fikiria kijiji nilichotoka mie kuna sekondari ina mwalimu mmoja tu, maji yenyewe shida, huduma za afya hakuna, usafiri ndo usiseme na umeme ndo usiguse kabisa, hivi unadhani mwalimu mwenye elimu ya diploma au degree atakaaa kweli mahali pa namna hiyo?
Serikali kweli imejitahidi kuongeza idadi ya shule na wanafunzi (quantity), lakini inasikitisha hao wanaomaliza kwenye hizo shule ni nafuu hata darasa la saba la mtu aliyeko Dar,
Amin usiamin kimetokea nyumbani kwangu siku mbili zilizopita ambapo binti wa dada yangu ambaye ni product ya hizo shule hajui hata kutofautisha vipimo vya ujazo. sasa sijui labda itawezekana, Ila ninachokijua bado kuna safari ndefu sana, Kabla serikali haijajenga shule ingeboresha kwanza mazingira ya hizo sehemu ili walimu wavutike.

Kwa ufupi safari ni ndefu sana. Tatizo kwangu mimi ni shule za msingi. Zaidi ya nusu ya watoto wanaoingia sekondari huwa wamefeli somo la Hisabati. Na zaidi ya asilimia 53 wanaomaliza kidato cha nne hupata daraja la nne. Bila kuwekeza ipasavyo kwenye Hisabati tusahau watoto wetu kuwa katika hali nzuri wamalizapo shule ya msingi na sekondari.
 
Back
Top Bottom