masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Raia Mwema la leo, Julai18-Julai24, 2012
"Wakati uchunguzi wa kimataifa ungali ukiendelea,Raia Mwema imethibitisha kuwa Rais mstaafu aliyepata kuongoza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar(SMZ) na mmoja wa kigogo wa juu wa sasa wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, wanahusika.(Amani Abeid Karume?)
Mtandao huo wa kiongozi huyo mstaafu ambaye anazo ndoto za kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na mwenzake ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa(Sheikh Hamad Sherrif?),wamefanya mpango huo na aliyepata kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi(CCM),ambaye pia amepata kuwa mbunge wa moja ya majimbo ya uchaguzi mkoani Tabora(Igunga-Rostam Aziz?).
My Take:
Niliwahi kumpongeza Membe humu jamvini kwa kazi nzuri ya kidiplomasia kuwaumbua hawa jamaa bila kudhuru serikali ya Tanzania kwa ujumla.
Sasa mbivu na mbichi zitaanza kuonekana, Zanzibar ni Nchi bana , ebo!!
"Wakati uchunguzi wa kimataifa ungali ukiendelea,Raia Mwema imethibitisha kuwa Rais mstaafu aliyepata kuongoza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar(SMZ) na mmoja wa kigogo wa juu wa sasa wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, wanahusika.(Amani Abeid Karume?)
Mtandao huo wa kiongozi huyo mstaafu ambaye anazo ndoto za kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na mwenzake ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa(Sheikh Hamad Sherrif?),wamefanya mpango huo na aliyepata kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi(CCM),ambaye pia amepata kuwa mbunge wa moja ya majimbo ya uchaguzi mkoani Tabora(Igunga-Rostam Aziz?).
My Take:
Niliwahi kumpongeza Membe humu jamvini kwa kazi nzuri ya kidiplomasia kuwaumbua hawa jamaa bila kudhuru serikali ya Tanzania kwa ujumla.
Sasa mbivu na mbichi zitaanza kuonekana, Zanzibar ni Nchi bana , ebo!!