dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
meli maarufu kama meli ya magufuri iliyokamatwa kwa uvuvi haramu ikivua samaki aina ya jodari inaendelea kuzama bahari hindi katika bandari ya Nundu mara baada ya kupata matundu madogo madogo.
Mahakama ilitoa uamuzi wa kuitaifisha na nakumbuka ilipangiwa na majukumu sijui hawa watendaji wetu wanatusaidia kwa lipi meli ya bure imetushinda hadi inaelekea kuzama kabisa Mungu atunyime tu.
Mahakama ilitoa uamuzi wa kuitaifisha na nakumbuka ilipangiwa na majukumu sijui hawa watendaji wetu wanatusaidia kwa lipi meli ya bure imetushinda hadi inaelekea kuzama kabisa Mungu atunyime tu.