Meli ya MV Spice Islander, yazama ikelekea Pemba; wengi wahofiwa kupoteza maisha

BBC waokoaji wameshawasili eneo la tukio watu 25 wameokolewa na maiti kazaa,uokoaji unaendelea
 
Wengi waliofariki ni wanafunzi walikuwa wanatoka likizo, Jumatatu ndio walikuwa wanafungua mashule
 
Kunajamaa anasema yeye alipigiwa simu 02.00 Am na ngudu yake aliyomo kwenye meli hiyo iliyozama lakini hawakuweza kuelewana kutokana na kelele na vilio kwenye meli hiyo, toka muda huo simu yake haikupatikana tena.
 
Inna Lillaah wa inna ilayh raajiuun

Hii meli zaidi ni ya mizigo kwa binadamu ina uwezo wa kubeba hata 3000 ilimradi wapate pa kukaa.
Haina mkuku ni kama boti za kijeshi na huwa inatumika sana kubeba mizigo na abiria kati ya Tanga-Pemba-Unguja.
Lazima kulikuwa na tatizo kubwa la hali ya hewa au kwenye injini kwani si aina ya meli za kuzama haraka kama vile mv.Bukoba.
Wengi wataweza kupata mbao za kujisaidia kuelea.Tatizo ni baridi kali usiku na wengi wa abiria hawajui kushika maji pamoja na taharuki ya kifo
 
Kunajamaa anasema yeye alipigiwa simu 02.00 Am na ngudu yake aliyomo kwenye meli hiyo iliyozama lakini hawakuweza kuelewana kutokana na kelele na vilio kwenye meli hiyo, toka muda huo simu yake haikupatikana tena.

Hiyo meli imegawanyika section tatu chini,kati na juu.Meli ilianza kuzama chini wale waliokua chini hawakupata hata nafasi ya kuomba maji.Waliokua juu angalao wameweza kupiga simu,kwa hiyo jamaa yako alikua juu.pole sana mkuu.

Tatizo lililosababisha ni lilelile la overload.
 
Nakuunga mkono Mkuu. Hata Rms Titanic haikuuwa watu zaidi ya 1500

Wewe hujui uwezo wa meli kubeba watu.Umezoea mabasi ndio maana una shaka.
Hata hivyo kuna tofauti kati ya uwezo wa kubeba na ruhusa ya kubeba.Si unaona Kariakoo nyakati za usiku kuelekea Mbagala kwani ni nani kati ya abiria au trafiki anayejali!
 
Idadi kamili ya watu waliokuemo kwenye boti bado haijafahamika.
Nadhani Ajali kubwa ya majini ni ile ya Mv Bukoba, mwaka 1996 zaidi ya watu 1000 walipoteza maisha yao.
Jukwaa la siasa naona Invisible bado kalala sijui ataamka saa ngapi
 
Watu waliokufa ni zaidi ya 1000,waliokuwepo bandarini unguja wakati meli inaondoka wanasema meli ilikua imejaasana mizigo nawatu walikua niwengi mno,na ilibinuka kama ilivyobinuka mv bukoba,imeelea zaid yamasaa3 bila kuzama hakuna msaada wowowo waliopata mpk imezama,
 
Ni meli ya Mizigo ijulikanayo kama SPICE na agharabu sana kwa meli kufanya safari zake kati ya Unguja na Kisiwa cha wete kutokana na Idadi ya wakazi wa kisiwa hicho, kwa hiyo inaposafiri Meli ya Abiria husafiri na idadi kubwa ya Abiria kati ya 1000 - 1500. kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa pia Meli hiyo ya Mizigo pia ilikuwa na Abiria wa kutosha.

Abiria walionusurika mpaka sasa wanakadiriwa kufikia 30 kwa mujibu wa Taarifa kutoka mmoja wa manusura akiye bado yupo juu ya mgongo wa meli wakisubiri kupata msaada kutoka hapo.
 
Watu waliokufa ni zaidi ya 1000,waliokuwepo bandarini unguja wakati meli inaondoka wanasema meli ilikua imejaasana mizigo nawatu walikua niwengi mno,na ilibinuka kama ilivyobinuka mv bukoba,imeelea zaid yamasaa3 bila kuzama hakuna msaada wowowo waliopata mpk imezama,

Are u sure or r u guessing? 1000 people?

Kama ni kweli, this is a biiiig national disaster, mimi sitaki kuamini unless otherwise proven,, wengine wanasema watu 30, wengine watu 2000, tunashindwa tuamini yupi sasa
 
Napata simu kutoka ka Jamaa yangu wa Zanzibar kua inakisiwa kama watu 200 ndio wanaoweza kuingia kwenye hiyo meli,
Kwamba kutoka Unguja kwenda Pemba kuna mkondo mkubwa maeneo ya Nungwi wenye Kina Kirefu sana tofauti Unguja kuja Dar,
Ndio maana hakuna boti ndogo zinazokwenda kule kwa kuogopa mkondo huo
 
yani sasa naona maswala ya wananchi hayatiliwi maanani kabisa, tbc ndo kwanza wanaendelea na jambo yao. wametoa ka strip ka breaking news kwenye news bar. then wakaendelea, inaonekana ambavyo information ina flow to damn slow, hawana reporters walio sharp kufuatilia matukio, hata kutujuza meli ilikuwa na watu wangapi, ina umri gani, capacity gani, year of manufacture etc hizo ni habri ambazo zinakuwa available faster. Angalau basi waoneshe kuwa kuna dharura inaendelea nchini kama hiyo.

Kweli tz tunasafari ndefu, hadi kizazi hiki cha wazee wazembe kiishe ambao wengi walipata vitengo hata bila interview na wala kujua vitengo hivyo vina uzito gani.

Kama hii boti imepinduka itakuwa ni aibu ingine kwa taifa, sababu mv bukoba pia ilipinduka, ni mara chache sana duniani meli ikapinduka (overturn) na sababu kama ni overloading basi huu utakuwa uzembe mwingine wa hali ya juu, ila kwa serikali ya magamba sitakuwa surprised kuona no one will be held responsible for overloading.
 
Maiti zilizo okolewa zinapelekwa Mnazi moja ili ndugu wakatambuwe maiti zao.
 
are u sure or r u guessing??? 1000 people????,,,
kama ni kweli, this is a biiiig national disaster, mimi sitaki kuamini unless otherwise proven,, wengine wanasema watu 30, wengine watu 2000, tunashindwa tuamini yupi sasa

Mkuu ninaongea kitu ambacho nina uhakika,kuna jamaayangu alimsindikiza mamayake amepanda hiyomeli nae amefia humo,anasema ilikua imejaa watu hata sehemu yakupita hamna,kama una mtu unguja au pemba uliza kila nyumba ina msiba,watu waliokufa niwengi mno,hao 30 niwaliokolewa,ni pm nikupe namba yamtu yupo ktk eneo la nungwi eneo la tukio.
 
Watu waliokufa ni zaidi ya 1000,waliokuwepo bandarini unguja wakati meli inaondoka wanasema meli ilikua imejaa sana mizigo nawatu walikua niwengi mno,

Inavyosemekana meli hua zinajaza sana maksudi ili ziwe nzito zisiyumbishwe na mkondo au mawimbi,
Kuna ukweli kwenye hili??
 
Maiti zilizo okolewa zinapelekwa Mnazi moja ili ndugu wakatambuwe maiti zao.
 
Back
Top Bottom