Jamani mwenyezi mungu atuepushie mbali balaa hili abiria watoke salama. Hivi serikali zetu zitajifunza lini? Matukio ya watu kuzama yamekuwa yanatokea mara kwa mara katika maziwa na bahari yetu lakini hakuna anayedhibiti hali hiyo. Hawa sumatra kazi yao nini hasa km wanaruhusu boti mbovu kutembea au boti imejaza watu na mizigo kupita kiasi?
Mkuu taratibu najua katika hali kama hii watu huhamaki na matokeo yake unaweza kuelekeza SHUTUMA kusiko. SUMATRA jurisdication yao mwisho ni Chumbe (kama wapendavyo kusema wa-ZNZ).
SUMATRA hairuhusiwi ku-operate ZNZ. ZNZ kuna chombo kingine kabisa kinaitwa ZMT(?)