John locke
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 828
- 1,261
Meli inayofahamika kama Bahara. Iliyokuwa imebeba mafuta lita elfu 50,000 za dizeli. Mali ya TANESCO. Chanzo cha moto ni gari iliyokuwa imebebwa ndani ya meli hiyo. Inasemekana kuwa wakati wanaifanyia testing gari hiyo sparks zilitoka na kusababisha moto.